Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Habarini wadau,

Mara nyingi sana wanawake wamekuwa wanaposaliti au wanapoamua kujihalalishia dhambi ya uzinzi huwa wanaambiwa kabisa kuwa ukiwa kama mke na kuzini basi Biblia inatoa ruhusa ya wewe mke mzinzi kuachwa moja kwa moja na mumewe (ikiwa kuna ushahidi wa uzinzi huo)

Maajabu ni kwamba nao wanauliza kuwa;

Je, mume akizini au akiwa na mke wa nje aachwe/ apewe talaka?

JIBU: Ni uamuzi wako wewe mwanamke kuwa umsamehe mume huyo, umuombee au umuonye lakini Biblia inashauri kuwa ni vema mume kuwa na mke wake mwenyewe (yaani mmoja)

Lakini hakika, hakuna mahali ambapo Biblia imetamka kuwa mwanaume mzinzi aachwe au apewe talaka na mkewe.

Ikiwa kuna mstari huo katika Biblia Takatifu, mmoja auweke hapa.

Hili limesababisha wanawake wengi (na mmoja amelalamika humu jamvini) kusema kuwa Biblia inawanyanyasa wanawake.

Mwanaume ni mfano wa Mungu. Biblia haifanyiwi arguments na ajabu zaidi huwa haibadiliki.

Enyi wake waombeeni waume zenu waishi kwa namna ya kumpendeza Mungu Muumbaji bila kuwaudhi ninyi ila msishindane na wanaume au kutafuta haki sawa na wanaume.

Hilo halitatokea hakika.


Wabillah Tawfiq,
 
Sidhani kama utakuwa umesoma Biblia yote. Na hata kama umeisoma, sidhani kama umeisoma vizuri. Na hata kama umeisoma vizuri, sidhani kama uliielewa...
Kama hudhani hayo yote...basi wewe uliyeisoma na kuielewa tuwekee hapa mstari unaotoa amri au ruhusa hiyo kwa Mume wa ndoa kuachwa.

Karibu,
 
Hua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?

Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi

1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke

2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
 
Hua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?

Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi

1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke

2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
ONTARIO hayo ni maagizo pamoja na ushauri wa Mtume Paulo.

Nimehitaji mstari unaotoa adhabu kwa Mume aliyezini ama unaomruhusu Mke kumwacha Mume wake kwa uzinzi.
 
kidogo nimesahahu andiko ila naahidi kulileta once nikilipata

linasema hiv waziwazi wala mwasherati wala mzinzi hawatourithi ufalme Wa Mungu hakutaja jinsia hapa alisema in general

nini maana ya uasherati?
Na nini maana ya uzinzi?
 
ONTARIO hayo ni maagizo pamoja na ushauri wa Mtume Paulo.

Nimehitaji mstari unaitoa adhabu kwa Mume aliyezini ama unaomruhusu Mke kumwacha Mume wake kwa uzinzi.
Uzinzi haujawekewa kinga kwenye biblia, si kwa mwanaume ama mwanamke.

Kumbukumbu la torati 22:22
Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume, wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke. Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.

Mambo ya walawi 20:10
Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake. Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi

Luka 16:18
Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.
 
Mimi huwa najiulizaga hivi...ninyi wanaume kuwa na wake wengi si kosa(kwa mitazamo yenu ya kibinadam)sawa,hilo halina shida sasa kwa mfano mume mmoja anawake 20 je,kwa idadi hiyo huyu mtu mume mwenye kumiliki hawa wake wote pekeake hatokuja kuibiwa na mwanaume mwenzake kwelii??? Wote hao ukiwamiliki wewe wanaume wenzao wakajolee wapi kwenye mashimo ya mdako????is obvious atakuibia tuu kati ya hao 20 uliokuwa nao,.sasa hapa ndio inakuja ishu ya kuonekana mwanamke Malaya kumbe nyie ndio.........wakubwa kwa kujifanya eti vitabu vitakatifu haviwalaani(uongo)ww pekeako huwezi ridhisha wote 20 bhana kwa wakati mmoja lazima ukubali kumegewa tuu na hata ningekuwa mm kati ya hao 20 ningekuchepukia tuu mpaka nisubiri zamu yangu nnleo wakati kuna mashababi nje kibwena.....ishu ni kuwa mke mmoja na mume mmoja tuu vinginevyo ni ubatili na kujilisha upepo..talaka zitaongezeka,kuchepuka kama kawaida,ufirahun na malaana yoote yatadumu milele na MILELE.
 
Uzinzi haujawekewa kinga kwenye biblia, si kwa mwanaume ama mwanamke.

Kumbukumbu la torati 22:22
Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume, wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke. Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.

Mambo ya walawi 20:10
Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake. Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi

Luka 16:18
Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.
Nimekuelewa sana ndugu yangu. Mungu si mjinga ahalalishe uzinzi kwa mwanaume na aupinge kwa mwanamke.
Amri ya Mungu inayosema usizini hakuwa anamwambia mwanamke peke yake.
Yoyote anayetetea uzinzi kwa mwanaume anajisumbua bure. Dhambi haibagui jinsia.
 
Hua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?

Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi

1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke

2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
Mbona sioni lolote kuhusu mwanamme mzinzi afanywe je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa sana ndugu yangu. Mungu si mjinga ahalalishe uzinzi kwa mwanaume na aupinge kwa mwanamke.
Amri ya Mungu inayosema usizini hakuwa anamwambia mwanamke peke yake.
Yoyote anayetetea uzinzi kwa mwanaume anajisumbua bure. Dhambi haibagui jinsia.
Ni wapi ambapo Biblia imempa Mwanamke Mamlaka ya kumuacha Mume wake wa Ndoa kwasababu ya Uzinzi?


Swali ni rahisi sana ila hamlijibu.

Badala yake mnajibu msichoulizwa.


Mimi huwa najiulizaga hivi...ninyi wanaume kuwa na wake wengi si kosa(kwa mitazamo yenu ya kibinadam)sawa,hilo halina shida sasa kwa mfano mume mmoja anawake 20 je,kwa idadi hiyo huyu mtu mume mwenye kumiliki hawa wake wote pekeake hatokuja kuibiwa na mwanaume mwenzake kwelii??? Wote hao ukiwamiliki wewe wanaume wenzao wakajolee wapi kwenye mashimo ya mdako????is obvious atakuibia tuu kati ya hao 20 uliokuwa nao,.sasa hapa ndio inakuja ishu ya kuonekana mwanamke Malaya kumbe nyie ndio.........wakubwa kwa kujifanya eti vitabu vitakatifu haviwalaani(uongo)ww pekeako huwezi ridhisha wote 20 bhana kwa wakati mmoja lazima ukubali kumegewa tuu na hata ningekuwa mm kati ya hao 20 ningekuchepukia tuu mpaka nisubiri zamu yangu nnleo wakati kuna mashababi nje kibwena.....ishu ni kuwa mke mmoja na mume mmoja tuu vinginevyo ni ubatili na kujilisha upepo..talaka zitaongezeka,kuchepuka kama kawaida,ufirahun na malaana yoote yatadumu milele na MILELE.

Uzinzi haujawekewa kinga kwenye biblia, si kwa mwanaume ama mwanamke.

Kumbukumbu la torati 22:22
Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume, wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke. Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.

Mambo ya walawi 20:10
Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake. Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi

Luka 16:18
Kila mtu anayemtaliki mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, naye anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa kutoka kwa mume anafanya uzinzi.
 
Back
Top Bottom