Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Kila siku wanaume mnazidi kutafuta njia ya kuzihalalisha dhambi. Nyie gegedeni tuu msituchoshe
 
Mathayo 19: 9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Kama nimemuelewa vizuri mtoa mada, anataka aoneshwe hukumu ya wazinifu kwa ushaidi wa mstari kutoka kwenye biblia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mathayo 19: 9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Na je kama sijamwacha Mke wangu na kumuoa mwingine? Ila nimetembea tu na mchepuko?
 
sasa hapo si unakuwa umefanya uzinzi.
agata edward

Ndio ni Uzinzi..na Uzinzi ni Dhambi

Swali langu lilikuwa: Ni wapi katika Biblia inampa ruhusa Mke wa Ndoa kumuacha Mumewe kwasababu ya Uzinzi?

Wala nia yangu si kuhalalisha uzinzi.
 
Agynasa, mbona unakuja na maswali? hebu weka huo mstari unaoongelea mwanamme mzinzi afanywe nini na mkewe ili huu ubishi uishe.
Akileta huo mstari na sio ule ushauri wa Mtume Paulo katika Wakorintho unistue mkuu.
 
Kwa upande wangu ipo hivi...
Biblia ni kama katiba, imeandikwa na binadamu mostly men...ambao wameandika mengi kujipendelea wao na kumnyima mwanamke haki na asiwe na sauti yoyote ile hata kama anaonewa.
Mimi ni mkristu..kwenye biblia siamini kila kitu, ninachoshika ni zile amri kumi za Mungu na baadhi ya Mistari ambayo ni Mungu au yesu mwenyewe ameyatamka.
Kila mtu anatafsiri yake katika kila kifungu na ukisikiliza tafsiri za watu mbalimbali unapotea hata hujui ufate kipi.
Mungu aliposema USIZINI sidhani kama alikuwa anamwambia mwanamke peke yake, amri hii inatakiwa ifuatwe na jinsia zote.
Sasa wewe mume ufanye uzinzi utegemee nikusamehe wakati mimi nikifanya unaniacha nani kasema?
.
.
Mume fanya uzinzi nakupiga chini within a minute maana najua kama nikifanya mimi itakuwa ni vita ya tatu ya dunia.
Nilijiwekea kusamehe uzinzi wa mume ila jf imenifundisha kuwa sipaswi kusamehe maana mimi sitasamehewa.
In future, you will become a great woman. Keep searching, those who search carefully never fails to find.
 
Lakini hakika, hakuna mahali ambapo Biblia imetamka kuwa mwanaume mzinzi aachwe au apewe talaka na mkewe.

Ikiwa kuna mstari huo katika Biblia Takatifu, mmoja auweke hapa.


Wabillah Tawfiq,
Ngoja kwanza nikufundishe ku phrase your hypothesis. Hata siku moja usithubutu kusema neno 'HAKUNA' ila sema 'SIJAONA'...
Wewe kutokuona sio tiketi ya kusema hakuna. Huenda kuna mwingine amekiona hicho unachokisema HAKUNA.
Dr Hans Blix alipotumwa na umoja wa mataifa kutafuta silaha za maangamizi ya halaiki nchini Iraq, alitoa ripoti akisema, 'Hatujaona silaha za maangamizi ya halaiki nchini Iraq'. Hakusema hakuna. Hiyo ndiyo scientific way ya kutoa conclusion. Ukisema hakuna unajifunga kwa kitu ambacho huna uhakika nacho!
Basi kama wewe uliisoma yote na ukaielewa weka hoja na vifungu
==============================================
1 Wakorintho 7:
9 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;

10 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.

[Hapa sasa ndipo Biblia inatoa ruksa kwa Mkristo kumuoa Muisilam/mpagani au Mkristo kuolewa na Muisilam/mpagani]

11 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.

12 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.

13 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.

14 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki.
 
Hua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?

Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi

1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke

2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
Aiseee wew umetuelewesha vizuri kwa sabab biblia imesema kila mtu awe na mtu wake mwenyww na sio watu wao.apo namaanisha mume mmja na mkr mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu ipo hivi...
Biblia ni kama katiba, imeandikwa na binadamu mostly men...ambao wameandika mengi kujipendelea wao na kumnyima mwanamke haki na asiwe na sauti yoyote ile hata kama anaonewa.
Mimi ni mkristu..kwenye biblia siamini kila kitu, ninachoshika ni zile amri kumi za Mungu na baadhi ya Mistari ambayo ni Mungu au yesu mwenyewe ameyatamka.
Kila mtu anatafsiri yake katika kila kifungu na ukisikiliza tafsiri za watu mbalimbali unapotea hata hujui ufate kipi.
Mungu aliposema USIZINI sidhani kama alikuwa anamwambia mwanamke peke yake, amri hii inatakiwa ifuatwe na jinsia zote.
Sasa wewe mume ufanye uzinzi utegemee nikusamehe wakati mimi nikifanya unaniacha nani kasema?
.
.
Mume fanya uzinzi nakupiga chini within a minute maana najua kama nikifanya mimi itakuwa ni vita ya tatu ya dunia.
Nilijiwekea kusamehe uzinzi wa mume ila jf imenifundisha kuwa sipaswi kusamehe maana mimi sitasamehewa.
Biblia Takatifu haijawahi kumruhusu Mwanamke kumuacha Mumewe kwakuwa tu Amezini ila Mungu ndiye atakayemwadhibu Mwanaume huyo.


Kama unapinga hili...LETE MISTARI YA BIBLIA.
 
Ngoja kwanza nikufundishe ku phrase your hypothesis. Hata siku moja usithubutu kusema neno 'HAKUNA' ila sema 'SIJAONA'...
Wewe kutokuona sio tiketi ya kusema hakuna. Huenda kuna mwingine amekiona hicho unachokisema HAKUNA.
Dr Hans Brix alipotumwa na umoja wa mataifa kutafuta silaha za maangamizi ya halaiki nchini Iraq, alitoa ripoti akisema, 'Hatujaona silaha za maangamizi ya halaiki nchini Iraq'. Hakusema hakuna. Hiyo ndiyo scientific way ya kutoa conclusion. Ukisema hakuna unajifunga kwa kitu ambacho huna uhakika nacho!
My Aknowledgement kwa ushauri huo.

Shukran sana.

Ila nikuulize, wewe umeshaona mstari huo unaompa Mwanamke mamlaka hayo?
 
Agynasa, mbona unakuja na maswali? hebu weka huo mstari unaoongelea mwanamme mzinzi afanywe nini na mkewe ili huu ubishi uishe.
Wakishaoana wawili(sio zaidi)wanakuwa mwili mmoja, bibilia haitaki waachane isipokuwa kwa uzinzi, hivyo uzinzi unaachanisha ndoa bila kujali ni nani kazini, kwa hiyo mume mzinzi anatakiwa aachwe/apewe talaka, hakuna aliye juu ya sheria ya uzinzi, bibilia haijahalalisha uzinzi kwa mwanamme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaelewa ila Amri ya Saba inasemaje??


7. USIZINI

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Hiyo ni Amri mojawapo miongoni mwa Amri 10 za Mungu.

Ninahitaji mstari au neno la Mungu katika Biblia linalomruhusu Mke kumuacha Mumewe kisa amezini.
 
Mleta Uzi pita huku usome nondo za mwanaume mwenzio anaejielewa,..
Honestly hapo hakuna mstari unaosema mwanamke ampe/adai talaka kwa mumewe sababu ya uzinzi. Hapo ni maoni tu ya Paulo kuhusu mume na mke juu ya namna gani waishi kama mume na mke.
 
My Aknowledgement kwa ushauri huo.

Shukran sana.

Ila nikuulize, wewe umeshaona mstari huo unaompa Mwanamke mamlaka hayo?
Rudia tena kusoma chapisho langu nililokuquote hap juu. Nimeshaedit na kuongezea nyama... Nadhani na swali lako litakuwa limeshajibiwa kwenye hiyo addition...
 
Back
Top Bottom