Punguza povu dada yangu tujadili taaratibu.WAPI ULIAMBIWA MUNGU ANA JINSIA!?
yani mnajiaminishaga vitu vya kiwehuuuu!
ETI MUNGU ANAJITAMBULISHA KAMA MWANAUME!
Ukimtoroka mwanaume bila kuomba talaka, unatafutwa na unakamatwa kwa kutelekeza majukumu ya ndoa.TALAKA NI NINI?
AHAHHAHAHHAHA NANI ANASUBIRI TALAKA SIKU HIZI?
WE BAKI NA MAMLAKA yako
Ivi baba ni mwanamke ?WAPI ULIAMBIWA MUNGU ANA JINSIA!?
yani mnajiaminishaga vitu vya kiwehuuuu!
ETI MUNGU ANAJITAMBULISHA KAMA MWANAUME!
hakika kwenye uasherati 99. 9% ya dunia hatuponikidogo nimesahahu andiko ila naahidi kulileta once nikilipata
linasema hiv waziwazi wala mwasherati wala mzinzi hawatourithi ufalme Wa Mungu hakutaja jinsia hapa alisema in general
nini maana ya uasherati?
Na nini maana ya uzinzi?
Mungu alimuumba Adam na Hawa (mwanamke na mwanaume), hakuumba wanawake wawili au Hawa wawili. Hivi kwa nini mnalazimisha?Habarini wadau,
Mara nyingi sana wanawake wamekuwa wanaposaliti au wanapoamua kujihalalishia dhambi ya uzinzi huwa wanaambiwa kabisa kuwa ukiwa kama mke na kuzini basi Biblia inatoa ruhusa ya wewe mke mzinzi kuachwa moja kwa moja na mumewe (ikiwa kuna ushahidi wa uzinzi huo)
Maajabu ni kwamba nao wanauliza kuwa;
Je, mume akizini au akiwa na mke wa nje aachwe/ apewe talaka?
JIBU: Ni uamuzi wako wewe mwanamke kuwa umsamehe mume huyo, umuombee au umuonye lakini Biblia inashauri kuwa ni vema mume kuwa na mke wake mwenyewe (yaani mmoja)
Lakini hakika, hakuna mahali ambapo Biblia imetamka kuwa mwanaume mzinzi aachwe au apewe talaka na mkewe.
Ikiwa kuna mstari huo katika Biblia Takatifu, mmoja auweke hapa.
Hili limesababisha wanawake wengi (na mmoja amelalamika humu jamvini) kusema kuwa Biblia inawanyanyasa wanawake.
Mwanaume ni mfano wa Mungu. Biblia haifanyiwi arguments na ajabu zaidi huwa haibadiliki.
Enyi wake waombeeni waume zenu waishi kwa namna ya kumpendeza Mungu Muumbaji bila kuwaudhi ninyi ila msishindane na wanaume au kutafuta haki sawa na wanaume.
Hilo halitatokea hakika.
Wabillah Tawfiq,
Hakunaga kitu kama hichoUkimtoroka mwanaume bila kuomba talaka, unatafutwa na unakamatwa kwa kutelekeza majukumu ya ndoa.
Unashtakiwa na unaweza kulipa faini au kufungwa.
Ukikubali kuolewa ujue huna mamlaka ya kumkimbia mwanaume aliyekuoa hadi ufuate utararibu unaokubalika na jamii.
Kama unabisha jaribu uone.
Sent using Jamii Forums mobile app
KipoHakunaga kitu kama hicho
Ndo hivyo hamna ubavu wa kufungua kesi, na hata kama akishtakiwa hatalazimishwa kurudi kuishi nae. Ndoa ni hiari na si lazima.Kipo
Mara nyingi wanaume huwa wanapotezea tu baada ya kutorokwa na wake zao.
Mwanaume kifungua kesi ya kutelekezwa inakubaliwa.
Na kama kuna watoto wadogo kesi inakuwa ngumu zaidi.
Soma sheria ya ndoa.
Kumbuka umelipiwa mahali na umesaini mkataba wa ndoa.Ndo hivyo hamna ubavu wa kufungua kesi, na hata kama akishtakiwa hatalazimishwa kurudi kuishi nae. Ndoa ni hiari na si lazima.
Hoja yako ina jibu moja tuuu. Amri ya Mungu ya sita ......................USIZINI.Wewe unajua Biblia gani?
Huu ubishi unaoutaka hauna maana yeyote nishakueleza kuwa maana yangu ni kutaka kujua unaposema mwanaume ni mfano wa MUNGU nafsi yako haihisi chochote kusema hivyo?Kuna kuona vipi tena kusikohusisha macho sheikh?
Bado hujajibu hoja ya mleta hoja mkuu,nahisi hujamuelewaHua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?
Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi
1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke
2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.
4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
Mumeo akikusaliti piga chini. Sidhani kama ni kweli biblia ina walinda wanaume, wewe unaonyesha dalili KUBWA za ukengeufu.Kwa upande wangu ipo hivi...
Biblia ni kama katiba, imeandikwa na binadamu mostly men...ambao wameandika mengi kujipendelea wao na kumnyima mwanamke haki na asiwe na sauti yoyote ile hata kama anaonewa.
Mimi ni mkristu..kwenye biblia siamini kila kitu, ninachoshika ni zile amri kumi za Mungu na baadhi ya Mistari ambayo ni Mungu au yesu mwenyewe ameyatamka.
Kila mtu anatafsiri yake katika kila kifungu na ukisikiliza tafsiri za watu mbalimbali unapotea hata hujui ufate kipi.
Mungu aliposema USIZINI sidhani kama alikuwa anamwambia mwanamke peke yake, amri hii inatakiwa ifuatwe na jinsia zote.
Sasa wewe mume ufanye uzinzi utegemee nikusamehe wakati mimi nikifanya unaniacha nani kasema?
.
.
Mume fanya uzinzi nakupiga chini within a minute maana najua kama nikifanya mimi itakuwa ni vita ya tatu ya dunia.
Nilijiwekea kusamehe uzinzi wa mume ila jf imenifundisha kuwa sipaswi kusamehe maana mimi sitasamehewa.
kidogo nimesahahu andiko ila naahidi kulileta once nikilipata
linasema hiv waziwazi wala mwasherati wala mzinzi hawatourithi ufalme Wa Mungu hakutaja jinsia hapa alisema in general
nini maana ya uasherati?
Na nini maana ya uzinzi?
Kuhusu kukemea uasherati na uzinzi imeandikwa katika kitabu cha.Ufunuo 3:21 Kama sijakosea