Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umenichekesha sana asubuhi hii jamani daah
Usicheke πŸ˜… hawa watoto wa farao wako na masapraiz kedekede. Siungi mkono kumpekua kila siku ila siku moja moja unapitisha macho kuyasafisha ikibidi
 
Mm kushika sm siku zote siwezi ila kufanya doria muhimu, na mm akishika sm yangu ruksa kabisa[emoji4]
 
Aah kweli tuheshimiane kwa kutokuchepuka
Yap, hiyo ndio ilikuwa maana yangu. Tatizo kubwa ndoa nyingi na Mahusiano mengi vinakosa sana heshima ndani yake. Watu wanakurupuka kuoa na kuolewa wakiwa kiuhalisia hawamo tayari na matokeo yake wakifika kwenye hizo ndoa ni vituko mwanzo mwisho.
 
Of course you can do that
 
mwanamke alipewa hicho kipaji cha kuwa na wivu kwa mumewe pindi alipofuata kikamilifu ushauri wa kula tunda la mti wa kati
 
Wanaume huwa mnatuchukuliaje sijui sometimes.. kitu usichopenda kufanyiwa usimfanyie na mwenzio..
Maneno yote mnaongea ili tu kuhalalisha usaliti..

Nasikitika sana ufahari wa wanaume siku hizi unapimwa Kwa kiwango Cha uchepukaji na tabaka la wanaojitahidi kujifunza kuwa waaminifu wanadharaulika.

Tuna andaa kizazi cha hovyo sana.
 
Hawezi kufanya hivyo kwakuwa ni illegal (mwizi, mdokozi, mdanganyifu) wa mali ya watu
 
Ngoja nikufunze jambo moja ambalo huwa hamzingatii wanawake..
Kumzuia mke kushika sim sio kwasababu ya umalaya tu kuna mambo mengi ambayo yanawachanganya sana kwasababu mda mwingi mnatumia hisia zaidi kuliko akili unaweza kutana na jambo ambalo halihusiani na uzinzi ukaliwaza tofauti kabisa nakumbuka nishawah kua na mwanamke kabla ya uyu mke wangu wa sasa alimtukana bimkubwa kwakukosa subira kwasababu bi mkubwa alinitafuta kwa namba ngeni

Ipo ivi usijiaminishe sana kua mumeo kua anajielewa huyo kakuzid akili na tactics za kivita yani hata me mke wangu anajisifia kwa ilo kua najielewa lakini kiukweli nature inanitafuna [emoji16] yani michepuko ipo na inaelewa terms zote na niniuwezo wakuacha simu hata siku mbili kwa mke wangu usisikie lolote kwa kifupi hakuna mwanaume anaeweza kuridhika na mwanamke mmoja duniani hapa hata kama hana nguvu za kiume..

Nyie mpo chini yetu acheni tuwale kwa wingi kwasababu tumeumbiwa nyie kwa wingi[emoji16] na mwanaume ndo aliyesujudiwa na viumbe wote uko mbinguni kipindi icho mwanamke hayupo kwenye ramani na aligoma kumsujudia mwanaume ndo uyo shetani kwaiyo sisi tunahaki yakufanya lolote kwenye hii dunia tushaambiwa tuje kutawala

Achana na sim ya mumeo utaharibu familia [emoji1666]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…