Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Umeongea sahihi sana, ila kuna baadhi ya watu wataka kuwaaminisha watu kuwa uzinzi kwa mwanaume ni urijali tena wanashawishiana sana.kama tabia yako n uzinzi endelea nayo maana ndivyo ulivyochagua kuishi hivyo.
Nje ya huo uzinifu Kuna Mambo mengi Sana naongea na hiyo simu so sitapenda yote Ila mtu ayajue
 
Nje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?
 
Nje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?
 
Aina ya mleta mada ndo huwa wanapigwa matukio wanaishia kuua au kujiua. Acheni ujuaji kila mmoja ana moyo wa nyama.
 
Tufanye hivyo hivyo kwa wanawake wetu.
 
Hivi unawezaje kuanika Mambo yako yote kwa mtu ambaye ndani ya dakika moja anaweza kuwa adui yako.....? Wewe sio mwanaume
🤔🤔🤔 ???? Tunaweza sema hivi hata kwake pia na yeye asikuweke wazi mambo yake mbona simple tu ndoa ni mkataba mna haki ya kuwekeana good terms and conditions .

Sasa sijui unacholalama ni nini ? Halafu uanaume haupimwi kwa uwazi wa mtu ,unapimwa kwa upevukaji wa kiakili wa muhusika si kutuletea double standards mzeee unaonekana mtoto.
 
Naona unajaribu kuzikonvisi ng'ombe
 
Umesema kweli my dear, watu wanaongea tu hapa,
Mie nashika uzuri simu ya Mume na yeye anashika yangu na kushika simu ya mwenza sio sababu unamchunguza ila yapo mbali mbali ya kushikiana simu,

Kama ana cheat acheat kwa adabu sababu anajua kichaa changu, mwaka wa 8 huu sijaona ujinga so afanye kwa akili lakini simu nashika kama kawaida na hajawahi kulalamika.
 
Unakuta Saa nane za usiku anakuangalia Kama unakoroma,anachukua simu anaenda kuikagua chooni,anachokutana nacho huko chooni sasa!!..mkiamka asubuhi sasa,unakuta mtu amefura Kama mtu aliyekunywa uji wa Moto ugenini akashindwa kuutema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa hiyo wewe ni firaUNI
 
Mama malezi, sijaridhika hii essay ndogo mnooo. Hebu ongeza tena pages. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Mithai 31:27 "Huangalia/huchunguza sana njia za watu wa nyumbani mwake......

Mke mwema huyo. Biblia imeshasema; Mimi ni nani nikae kibwege[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teeenaaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…