Nje ya huo uzinifu Kuna Mambo mengi Sana naongea na hiyo simu so sitapenda yote Ila mtu ayajueUmeongea sahihi sana, ila kuna baadhi ya watu wataka kuwaaminisha watu kuwa uzinzi kwa mwanaume ni urijali tena wanashawishiana sana.kama tabia yako n uzinzi endelea nayo maana ndivyo ulivyochagua kuishi hivyo.
Nje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?Cha msingi tuache uzinzi, simu hazina shida yoyote. Na inapofika mahali mwenza wako anakuwa free na simu yake, hata wewe kuna muda unakuwa huna habari nayo kabisa. Sasa mtu akifika tu home simu silent; imagine mume anaweka password ili mke asishike simu. Hiyo ni ndoa au?
Nje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?Nilipokuwa 20 to 21 ndio niliona bora nisishike simu ya mzee ila mzee anashika simu yangu wewe eti sikuamini wah huyu naye ..
Sioni sababu ila nawapa elimu hii wanandoa sana sana wanaume .
1. Sio sifa kuwa na michepuko ni mbaya inaleta mikosi ndani ya familia .
2. Usiwe na dharau kwa mwanamke aliyejitoa kwako inamaanisha yule aliyekuona unamfaa katika maisha yake .
Ambaye anakuheshimu, kukujali nakukuvumilia madhaifu yako kukusitiri.
3. Usidhubutu kumwoneshea mkeo kuwa wewe unawanawake njee na yeye ndiye anajikomba wakati kaenda leba kwa ajili ya mbegu yako ili uitwe baba.
4. Heshimu ndoa , muheshimu yeye napenda san kuheshimu familia yako.
5. Daima kumbuka anayekupenda ni mmoja na wawili nanihawa mama na mkeo tu . Ndio wanawake wawili ulionao katika maisha haya jaribu kumuheshimu.
6. Isipite hata siku moja kumtukana mkeo kumtukana umuite maneno ya kipuuzi nahuku ndio analinda familia yako.
Anaihudumia je akikuulia watoto wako , mama yako na ndugu waliokuja kukusalimu kwa sumu utafanya nini??
7. Isipite siku hujawahi mwambia maneno mazuri .
8. Umalaya sio dili tulia tunza familia maisha yenyewe ndoo haya sina jingine usiku mwema
Tufanye hivyo hivyo kwa wanawake wetu.Habari kwenu ....!
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwakwe na familia yake.
Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya Kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini .
Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana Ila Kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.
Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako ....trust me hauta pona kamwe .....
Simu ya mmeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini...?
Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.
NB
......Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.....
......jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe....
🤔🤔🤔 ???? Tunaweza sema hivi hata kwake pia na yeye asikuweke wazi mambo yake mbona simple tu ndoa ni mkataba mna haki ya kuwekeana good terms and conditions .Hivi unawezaje kuanika Mambo yako yote kwa mtu ambaye ndani ya dakika moja anaweza kuwa adui yako.....? Wewe sio mwanaume
Ukimaliza kutoa povu ...acha kushika simu ya mmeo
Naona unajaribu kuzikonvisi ng'ombeHabari kwenu ....!
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwakwe na familia yake.
Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya Kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini .
Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana Ila Kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.
Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako ....trust me hauta pona kamwe .....
Simu ya mmeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini...?
Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.
NB
......Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.....
......jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe....
Umesema kweli my dear, watu wanaongea tu hapa,Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta Saa nane za usiku anakuangalia Kama unakoroma,anachukua simu anaenda kuikagua chooni,anachokutana nacho huko chooni sasa!!..mkiamka asubuhi sasa,unakuta mtu amefura Kama mtu aliyekunywa uji wa Moto ugenini akashindwa kuutema
kwa hiyo wewe ni firaUNIMimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Mama malezi, sijaridhika hii essay ndogo mnooo. Hebu ongeza tena pages. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Uwakumbushe kabisaaah.Na mwanamke hachunguziki...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teeenaaaaah.Mithai 31:27 "Huangalia/huchunguza sana njia za watu wa nyumbani mwake......
Mke mwema huyo. Biblia imeshasema; Mimi ni nani nikae kibwege[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Ila mama malezi lol.Nina mwanamume wa nguvu, anayejitambua na ana akili zake timamu. Kila mmoja wetu ni mlinzi wa mwenzie. Imeisha hiyoo
Tulishaoa mkuu. Au tupige chini?Hivi bado kuna watu mnaoa [emoji45]
Kwanini hua hamkuji kwenyw kikao?