Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Poleni sana...
Hayanaga muongozo...

Kuna member kaleta uzi wa kuchanganyikwa baada ya kusoma sms kutoka kwenye simu ya mume wake na kukuta ana mchepuko na penzi zito...

Wewe ndiyo mume wake au...
Hapana mkuu Mimi mke wangu Alisha pigwaga na kitu kizito saizi hafanyi hayo[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nilipokuwa 20 to 21 ndio niliona bora nisishike simu ya mzee ila mzee anashika simu yangu wewe eti sikuamini wah huyu naye ..

Sioni sababu ila nawapa elimu hii wanandoa sana sana wanaume .
1. Sio sifa kuwa na michepuko ni mbaya inaleta mikosi ndani ya familia .
2. Usiwe na dharau kwa mwanamke aliyejitoa kwako inamaanisha yule aliyekuona unamfaa katika maisha yake .
Ambaye anakuheshimu, kukujali nakukuvumilia madhaifu yako kukusitiri.
3. Usidhubutu kumwoneshea mkeo kuwa wewe unawanawake njee na yeye ndiye anajikomba wakati kaenda leba kwa ajili ya mbegu yako ili uitwe baba.
4. Heshimu ndoa , muheshimu yeye napenda san kuheshimu familia yako.
5. Daima kumbuka anayekupenda ni mmoja na wawili nanihawa mama na mkeo tu . Ndio wanawake wawili ulionao katika maisha haya jaribu kumuheshimu.
6. Isipite hata siku moja kumtukana mkeo kumtukana umuite maneno ya kipuuzi nahuku ndio analinda familia yako.
Anaihudumia je akikuulia watoto wako , mama yako na ndugu waliokuja kukusalimu kwa sumu utafanya nini??
7. Isipite siku hujawahi mwambia maneno mazuri .
8. Umalaya sio dili tulia tunza familia maisha yenyewe ndoo haya sina jingine usiku mwema
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Umesema kweli my dear, watu wanaongea tu hapa,
Mie nashika uzuri simu ya Mume na yeye anashika yangu na kushika simu ya mwenza sio sababu unamchunguza ila yapo mbali mbali ya kushikiana simu,

Kama ana cheat acheat kwa adabu sababu anajua kichaa changu, mwaka wa 8 huu sijaona ujinga so afanye kwa akili lakini simu nashika kama kawaida na hajawahi kulalamika.
Eti mtu anaiogopa simu ya mume wake mwenyewe. Eish

Mwendo ni huohuo my dear
 
Nje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?
Sio kulivumilia bali nitalikubali tu. Hata Mimi natuma hela nyingi kwa mama yangu kuliko kwa wakwe😏
 
Usishike hii simu..

Screenshot_20220517_191329.jpg
 
Kwa kweli sishiki simu ya mtu ila akitaka yangu ashike tu. Sio tu kushika simu huwa sitaki kujua upande mwingine ambao mtu hajataka kunionyesha. Hii ni kwa ajili ya amani ya moyo maana nikijua baya la baby sitaweza kuvumilia. Nailinda furaha yangu sana kwa kweli nisiyoyaona sitakagi kuyajua kabisaaaaa.
Halafu unashika/chunguza simu ya mwenzio unataka kuona nini? Hamuaminiani? Ukishaona unaweza kumuacha huyo mwenza au unajitafutia kukereka?

Kila mtu ashike simu yake kama ni mhangaikaji utajua tu hata bila kushika simu.
 
Huo upevukaji ni pamoja na kujua kuwa ili uweze kuishi na mwanamke vizuri Basi inatakiwa asikujue Sana Kijua mawili matatu kuhusu we inatosha.


Sasa wewe mwanamke wako ashakujua a to z unahishi utamuambia kitu gani kipya akakusiliza mzee.....?

Kwa mwandiko wako bado unasafari ndefu Sana kuweza kuhimili mikiki ya wanawake
Such a lame excuse
 
Sababu ya kushika simu yamtu kuanza kuchunguza ni Nini?simuamini au na kma simuamini nikikuta ambacho siwez kustahimili maana yake naweza kumuacha au naendlea kuwa nae?

Kumuamini mtu na kumlinda sio lazima umchunguze kunamengi hayako wazi sio uzinzi tu na huenda yasiwe mabaya lkn unaweza usjisikie vizuri simu inaprivacy nyingi na kushika haina maana ndo utajua kilakitu Bali kumtafutia mbinu za kufanya ashtukiwe mzinzi ni mzinzi tu hata umkague vipi huenda akawa anaenda kubeba Malaya anakruka nao na hana hta namba zao... ukimwi ukopalepale muhimu kuwekana wazi kuelezana ukweli ataesikia na asikie na heshima ifate mkondo wake...
 
Unakuta Saa nane za usiku anakuangalia Kama unakoroma,anachukua simu anaenda kuikagua chooni,anachokutana nacho huko chooni sasa!!..mkiamka asubuhi sasa,unakuta mtu amefura Kama mtu aliyekunywa uji wa Moto ugenini akashindwa kuutema
Nimecheka sana, hasa hizi simu za finger print alafu uje umepiga masanga, anakugusisha password inatoka kiurahisi anaaza u so called FBI
 
Ukiweka simu yako lock ya fingerprint usiku anakugusisha kwenye hicho kidole ukiwa umelala, lock inatoka[emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli mkuu, hata ukiweka ya sura lazima aifungue tu hasa kama umepiga na yale ambo yetu
 
Back
Top Bottom