Hahaahah mkuu acha uongo, unafanyaje kiongozi?Bahati nzuri mimi nikilala na fingerprint hazifanyi kazi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahah mkuu acha uongo, unafanyaje kiongozi?Bahati nzuri mimi nikilala na fingerprint hazifanyi kazi[emoji23]
Hata wewe pia unaweza kumletea Ugonjwa kutoka kwa yule Jamaa yako ambae unadhani yuko salama. Its vice-versa, kikubwa ni kuheshimiana.Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Umeniandikia Mimi au mkeo? Heshima ipi?Hata wewe pia unaweza kumletea Ugonjwa kutoka kwa yule Jamaa yako ambae unadhani yuko salama. Its vice-versa, kikubwa ni kuheshimiana.
Jamaa gani 😜@Heaven sent Mama mtumishiHata wewe pia unaweza kumletea Ugonjwa kutoka kwa yule Jamaa yako ambae unadhani yuko salama. Its vice-versa, kikubwa ni kuheshimiana.
Wote! Ni kwamba ukimheshimu mwenzio huwezi kumcheatUmeniandikia Mimi au mkeo? Heshima ipi?
Hii simu inatisha..
Aah kweli tuheshimiane kwa kutokuchepukaWote! Ni kwamba ukimheshimu mwenzio huwezi kumcheat
Mimi alikagua simu alichokutana nacho usiku mzima alikuwa analia baadae kesho yake nikasikia akijisemea mwenyewe kwa vile unatutunza vizuri mimi nitakuombea tu na mimi niliendelea kukaza kuwa mbishi mpaka leo ila sasa naona mambo sawaHabari kwenu!
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwakwe na familia yake.
Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya Kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.
Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.
Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.
Simu ya mmeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?
Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.
NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.
Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.
Tuzo mwanamke bora wa mwaka inaenda kwa Donatila.Mi simu ya mzee baba naiona kama kituo cha polisi...
Sitaki presha mimi...
Nakazia hapo "Mwanamke amchaye BWANA ndiye atakaye sifiwa". Uko na hekima, endelea hivyo hivyo na Mungu atakusaidia.Ni vigumu kumchunga mwanaume... tena nasisitiza ni vigumu...
Ukitumia nguvu kumchunguza ndo utazidi kumpoteza...
Kama wewe ni mwanamke na una IMANI na MUNGU umuombee mume wako sana...
Maombi yako yanaweza kumtoa ktk vishawishi...
Uzuri ni ubatili bali mwanamke atakayemcha BWANA ndiye atakayesifiwa.
Unajitafitia presha zisizo sababu. Mungu ameumba jambo jipya, mwanamke atamlimda mumewe sio kama unavyowaza wewe bali kwa maombi. Only prayers.Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Proverbs 31:27 She watches over the ways of her household...Unajitafitia presha zisizo sababu. Mungu ameumba jambo jipya, mwanamke atamlimda mumewe sio kama unavyowaza wewe bali kwa maombi. Only prayers.
Pamoja na hayo yote, weka hili akilini. Hakuna binadamu anayeweza mlinda binadamu mwenzake. Hata kama ukiyafanya yote hayo, kama hana hofu ya Mungu personally atachepuka tu.Proverbs 31:27 She watches over the ways of her household...
Sio tu kuchunguza simu; chunguza kampani yake, wanaongea nini wanafanya nini; hata mkeo akikwambia anaenda kanisa la jirani kwenye maombi hakikisha unajua ni Mchungaji wa aina gani anayeilisha nafsi yake; anamfundisha nini? Hadi magroup ya wasap sijui Vicoba ; know exactly wanachofundishana huko. Usikae kibwege hadi nafsi ya mwenzi wako ikaangamia; Mungu amekuamini na maisha ya mwenzi wako
Muwe mnasoma Biblia yote, sio kuchukua kifungu kimoja kimoja kinachojustify mambo yenu.
Hofu ya Mungu anayo na Mimi nafuatipia nyendo zake kama vile ninavyofuatilia nyendo za watoto wetu. They are my responsibility.....Pamoja na hayo yote, weka hili akilini. Hakuna binadamu anayeweza mlinda binadamu mwenzake. Hata kama ukiyafanya yote hayo, kama hana hofu ya Mungu personally atachepuka tu.
Hongera sana,usilegeze uzi.Hofu ya Mungu anayo na Mimi nafuatipia nyendo zake kama vile ninavyofuatilia nyendo za watoto wetu. They are my responsibility.....
Unalia na hukomii.. Unaendelea kuishika tuu..Hii simu inatisha..
Ukishika unalia mwenyewe...
Dada mkubwa kamaliza🙏🙏🙏Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Ewaaaaaaaaa, yes nasema ndiyo.Ni vigumu kumchunga mwanaume... tena nasisitiza ni vigumu...
Ukitumia nguvu kumchunguza ndo utazidi kumpoteza...
Kama wewe ni mwanamke na una IMANI na MUNGU umuombee mume wako sana...
Maombi yako yanaweza kumtoa ktk vishawishi...
Uzuri ni ubatili bali mwanamke atakayemcha BWANA ndiye atakayesifiwa.