mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
- Thread starter
- #21
gap la miaka 5 rika mbona hamna cha kulelewaSo unatafutwa justification ya kulelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gap la miaka 5 rika mbona hamna cha kulelewaSo unatafutwa justification ya kulelewa?
NomaSo unatafutwa justification ya kulelewa?
🤣🤣🤣Tangu lini Umeanza kuniamini🤒unanigeuka tena??
Itakuwa ya punda hiyo au sio 🤣🤣Itoboe utumbo
✍️Noted
🤣🤣🤣🤣Ila we jamaa,...Kila kitu notedItoboe utumbo
✍️Noted
Stop prolonging the discussion, huna qualificationsgap la miaka 5 rika mbona hamna cha kulelewa
Unaongea tu. Labda kama huyo kijana sio mtoto wa Bhakresa🤣To be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendelee kuwa single 😌😌
Hii ni haki yako.To be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri,, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendlee kua single [emoji18][emoji18]
Ndefu inakera Ila warefu mnawapendaItakuwa ya punda hiyo au sio 🤣🤣
Hapana kwakweli...yani mimi swali la kwanza kukuuliza ni umri kabla ya yote 😃😃..kuna kipindi niliwahi kua na mtu alikua smart sana yani ila sikumuulizaga umri siku nimekuja kujua kanizidi mwaka mmoja nilijiskia vibaya sana,, thanks Lord hata hatukudumu maana...🙈🙈hata kama ni mdogo anaweza akawa anajitambua, ana tabia za kiutu uzima
hapo vipi....
hamna.... toa maoni yako😂Umepata mshangazi nini
Lini utakitafuna kisamvu changu?hamna.... toa maoni yako[emoji23]
🤣🤣🤣🤒Basi sawa 😊🤗
NotedWanataka mtu wa kuwalinda.
Huyu amepata shangazi anatafuta tu namna ya kujihalalisha😃😃🤣🤣🤣Umepata mshangazi nini
komwe vunga, utafanya uzi ufutwe😂Lini utakitafuna kisamvu changu?
asante sana mkuu hii imenitia moyoSijui mtazamo wa mtu but mimi nimeoa mwanamke aliyenizidi miaka 5 .tena kuoana kwa ndoa kabisa