404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Umri unaenda na umboHapana, hayo mengine ni ziada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri unaenda na umboHapana, hayo mengine ni ziada.
Mamaa ElishaKwakweli mimi hapana nataka mwanaume anizidi kila kitu kwanzia umri,akili,pesa,urefu n.k
nani mke wako hapo nimtoe?? au ni wote??😂Unawezaje kutaja wake za watu hapa bila ruhusa za waume zao?
Umekosa adabu dogo
Yaani mimi niwe na kavulana ka 30s Yr? Ohh nope. Labda nikaajiri kachekeshaji kangu
Sipendi mwenye umbo kubwa sana atafanya nionekane mtoto☺️Umri unaenda na umbo
Bora niendlee kua chini yenu tu kwakweli...maana napenda mwanaume awe amenizidi kila kitu,, hapo ndo hua nafeel nipo kwenye mahusiano 😊🤗Hii ni haki yako.
Lakini pia, nafikiri ni moja ya sababu wanawake wanatawaliwa na wanaume.
Wanawake wengi wanapenda wanaume wakubwa zaidi yao, warefu zaidi yao, wenye nguvu zaidi yao, wenye kipato zaidi yao..
Wanataka mtu wa kuwalinda.
Kwa saikolojia hii, wataendelwa kuwa chini ya wanaume.
Hela ndio kiboko cha "Siwezi" yani utaweza tu hata kutoa channel 'O' ni mambo ya maokoto tu.Mimi kwakweli siwezi jamani😃😃😃,, kwanza sijui ntakua najionaje😂🙈🙈
Hao ndio mboga umewatag au wewe?
Sijui labda🤔🤔,, lakini hapana weeee🤣🤣🤣🤣Hela ndio kiboko cha "Siwezi" yani utaweza tu hata kutoa channel 'O' ni mambo ya maokoto tu.
Kwakweli mimi hapana nataka mwanaume anizidi kila kitu kwanzia umri,akili,pesa,urefu n.k
Yani wewe,, au basi😃😃🤣🤣🤣🙌pisi kali😋
Huwezi kujua. Kuna vijana wana hela hadi kufuru. Huyo akikutaka advertise yake moja tu unaingia mzima mzima.Sijui labda🤔🤔,, lakini hapana weeee🤣🤣🤣🤣
Naomba uniache kabla komwe langu halijavurugika.Hao ndio mboga umewatag au wewe?
Unaongea tu. Labda kama huyo kijana sio mtoto wa Bhakresa[emoji1787]
Sawa komweNaomba uniache kabla komwe langu halijavurugika.
awe amenizidi miaka hata mi4 basi kama ndo hivyo 😃😂😂🙈Huwezi kujua. Kuna vijana wana hela hadi kufuru. Huyo akikutaka advertise yake moja tu unaingia mzima mzima.
Wote wanaojifanya siwezi hakuna manzi humu atafatwa na chalii anasukuma G wagen au Ferari halafu aseme hamtaki 🤣!Kwa hiyo, maokoto yanaondoa hizi kauli zao zote!?