Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sio kawaida,mshale wa sekunde utakuwa ulikuwa unaenda ant-clockwise....Wala hakuyumba yupo safi tu mbona hivi ni vitu vya kawaida sana...
Sio Kweli kabisa!kwanza nitake radhi,nikifika 48,kwanza nitakuwa nimeingia menopause ule moto na mshawawasha wa 30's utakuwa umepoa,naangalia mabinti zangu na vijana wangu najiandaa kupokea wajukuu zanguWewe mwenyewe ukishafika miaka 48 na huyo mumeo ana 61 hapo ndipo utawamisi vijana wanaoenda mbio ndefu ambao wengi wao ni chini ya 35
Imeisha iyo😂😂Hujachelewa dogo maana nami napenda sana niliowazidi umri😋
Ee tayari hiyo😋Imeisha iyo😂😂
Naona kumekucha na ma nails yake😂Ee tayari hiyo😋
🤣🤣🤣Hataree🤸Naona kumekucha na ma nails yake😂
Ahsante , let me write this in my notebook 🤓Stop prolonging the discussion, huna qualifications
Mbona hamna shida. Kuna ndugu nawafahamu kama 3 wameolewa na wanaume umri mdogo kuliko wao, na ndoa zao zina zaidi ya miaka 20. Kigezo cha umri sidhani kama ndio kinafanya mapenzi au ndoa idumu.Safi
Kabisa mom,sema umkute matured lasivyo utajutaMbona hamna shida. Kuna ndugu nawafahamu kama 3 wameolewa na wanaume umri mdogo kuliko wao, na ndoa zao zina zaidi ya miaka 20. Kigezo cha umri sidhani kama ndio kinafanya mapenzi au ndoa idumu.
Tatizo watu wanafanya maauzi kwa kuangalia jamii itawachukuliaje, do what is best for you.This is 2023 bwana mdogo, that's the least of things you should be worried about. And well, a piece of advice if you can take it, don't be doing things na perception ya kwamba jamii itanichukuliaje, dunia ishatoka kwenye primitive thinking za namna hio, kila mtu anafanya kile kinachompa furaha bila kuleta bugudhi kwa wengine.
Wako watu wazima akili kisoda.Kabisa mom,sema umkute matured lasivyo utajuta
🤣🤣🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi aone hii🤒Wako watu wazima akili kisoda.
hii nzuri....Mbona hamna shida. Kuna ndugu nawafahamu kama 3 wameolewa na wanaume umri mdogo kuliko wao, na ndoa zao zina zaidi ya miaka 20. Kigezo cha umri sidhani kama ndio kinafanya mapenzi au ndoa idumu.
Ikiwezekana vibao😂 nyie hizi mambo kumbe zipo eeeh , hawa wakwetu mkumbushe sasa utasikia basi kama unajua sana fanya wewe , ukikasirika utasikia nipige kama we mwanaume kweli 😂Mimi huwa napenda kudate na mwanaume aliyenizidi umri for real😂. Nahisi kuwa comfortable maana bado naamini kuwa a man is the head of a family. Nikizingua nikumbushwe kwa essay ndefu sana😊❤️🤣
Una haki ya kuongea hivyo kwakuwa haumjui huyo mama na kwa namna gani tulijikuta tumedumbukia kwenye mahusiano nae laiti ningemtaja jina member wa mtwara mjini waliopo humu ambao harakati zao zipo pale soko kuu wangemjua na mimi pia wangenijua na wangekuambia kuwa yule mama ni mtu wa aina gani ila sio vizuri nifanye hivyoHamna sio kawaida,mshale wa sekunde utakuwa ulikuwa unaenda ant-clockwise....
Unajicontrol kwa jambo ambalo haujalifikia bado?Sio Kweli kabisa!kwanza nitake radhi,nikifika 48,kwanza nitakuwa nimeingia menopause ule moto na mshawawasha wa 30's utakuwa umepoa,naangalia mabinti zangu na vijana wangu najiandaa kupokea wajukuu zangu
HahahahWewe mtoa mada umezaliwa na kukulia daresalaam? Samahani lakini kwa hili swali mshamba_hachekwi
Niliolewa na mtu alinipita 5 years lakini akili zake anaijua mwenyewe. Mbona niliondoka mwenyewe . Nimepata ambaye kanipita miezi 4 tu na tuko powa tu. Utani kama wote, yaani ni marafiki.🤣🤣🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi aone hii🤒