Kwenu wataalamu, ni upi uzuri wa gari hii aina ya Probox?

Shukrani chief
Nitakuwa nakafanyia service mwenyewe[emoji3]
 
Kankonko to nyakanazi, kakonko to kibondo, kibondo to mvugwe, mvungwe to makere, makere to kasulu bado kule manyovu...!! Shughuli yke n hatari hzo njia ukinunua haice utalia
Nahisi hii mashine imekaa sana kimkakati
Huwezi shinda njaa[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…