- Thread starter
- #61
[emoji23][emoji23]Mkuu usisahau ikianza kuchoka kuileta huku tarime zinaitwa mchomoko Zina bebaa abiria hata kumi na tano kwenye siti ya mbele wanakaa wanna dereva anakalia tako mojaa....njia shirati au sirari au nyamongo
Kwamba mchomoko,founder wa hizi ngoma aliwaza sana!