Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Kwa harakati za utafutaji, I will go for probox au succeed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa harakati za utafutaji, I will go for probox au succeed
Hiizi gani nazikubali Sana
Ukizivisha viatu vile vinne halafu ukaweza na sport rim
Halafu ikawa na rangi ya dark bkuu au black au grey dadake [emoji1]
Hiizi gari unazeeka nazo
Hahaaaaa nipo hapa mvugweKankonko to nyakanazi, kakonko to kibondo, kibondo to mvugwe, mvungwe to makere, makere to kasulu bado kule manyovu...!! Shughuli yke n hatari hzo njia ukinunua haice utalia
Mimi wamenikatisha tamaa,kwa jinsi kalivyo mwagiwa sifa nilishawishika...naambiwa ni kafupi Kama ni tall Kama mm ,naambiwa itabidi niendeshe nimepinda mgongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwetu zinaitwa Mchomoko....humu mnapangwa watu 20 na mnafika salama[emoji1][emoji1][emoji1]
Ahsante.Wengi mnaielezea tu bila hata kuwambia wafau bei za hiyo gar.
Mnaotaka kujua bei , from Japan had mkonon mwako kwa sasa andaa 13m au 12.5.
Kitaa unaweza pata hiyo gar kuanzia 7m had 10m ambayo iko katika Hali nzur tu ,ila ushaur nunua from Japan ndio utaifaid vzr
Sawa chiefKwa harakati za utafutaji, I will go for probox au succeed
teh tehWaha na probox ni chanda na pete
Yamejaaa kigoma hatari
[emoji23][emoji23]Kwetu zinaitwa Mchomoko....humu mnapangwa watu 20 na mnafika salama[emoji1][emoji1][emoji1]
Noah ikasome kwa hyo gari ukitaka kuona hyo mashine ni noma nenda kigoma inabeba had gunia tatu za mahindi na kule sehemu kubwa ni rough road[emoji23][emoji23]
Balaa na nusu,kumbe hazina tofauti na NOAH!
Kabadilishe plugs pia, kwa gari ya 1500cc bado mafuta ni mengi uliotumia.Mafuta ya tisin elfu unatoka tanga unafika chuga na kugeukat probox ni habari ingine ikikolea mwendo nikama tiara mwaka wa 4 huu nimebadili tairi na oil kila ikiisha tu,na ripea za kawaidatu
hahahaha balaa!Noah ikasome kwa hyo gari ukitaka kuona hyo mashine ni noma nenda kigoma inabeba had gunia tatu za mahindi na kule sehemu kubwa ni rough road
Ila power ya ku overtake iko kwenye 1.5 bila shida.1.5 kumbuka gar itakuwa on masaa 14-16 bila kuzima, ingawa hata 1.3 inafika fresh
Acha kabisa na zinachomoka kweli kweli[emoji23][emoji23]
Balaa na nusu,kumbe hazina tofauti na NOAH!
Kuna jamaa yetu mmoja anayo used anaiuza lakin bei imenichosha.Wengi mnaielezea tu bila hata kuwambia wafau bei za hiyo gar.
Mnaotaka kujua bei , from Japan had mkonon mwako kwa sasa andaa 13m au 12.5.
Kitaa unaweza pata hiyo gar kuanzia 7m had 10m ambayo iko katika Hali nzur tu ,ila ushaur nunua from Japan ndio utaifaid vzr