Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wako.Hakuna tajiri aliyeajiriwa
Kwanza naona hapo kwa chini not shortlisted ebu tupe habari shida ni nini?? MwalimuHabari za leo waungwana wa JF,nimeomba kazi ya Ualimu wa somo la Kingereza(English) na Uraia(Civics) ila naona kwenye ile list ya kazi nilizoomba zimepigiwa rangi tofauti kama unavyoona kwenye Screen shot,hii ina maanisha nini?
Mambo yamegoma,afanyeje sasaHakuna tajiri aliyeajiriwa
nadhani ndo maana sahivi wanatakiwa wafanye interview. kwa namna hii anaweza kutana na wanafunzi vipanga wakawa wanamchallenge kila sikuWalimu wengi mna shida sana sasa hii nayo ni ya kuanzishia Uzi kweli?
Hiyo appliDuuuh kaa kwa kutulia izo ni colour tu wewe komaa na application status.
Kabisa.Huo ni mtazamo wako.
Mambo yamegoma,afanyeje sasa
Wewe ambaye hauna shida hongera.Walimu wengi mna shida sana sasa hii nayo ni ya kuanzishia Uzi kweli?
Asante sana.Kwenye bootstrap css kuna class inaitwa strip-table... Ni ku style table katika mtindo wa pundamilia ili msoma data uweze kuzisoma kwa usahihi!
Mdau hapo juu ameongelea hili, kwamba hiyo ni style ya table tu, visikuchanganye
Dharau zako hua zinakuingizia Sh ngapi kwa siku?nadhani ndo maana sahivi wanatakiwa wafanye interview. kwa namna hii anaweza kutana na wanafunzi vipanga wakawa wanamchallenge kila siku
KIkwete, mwinyi, january mabos wa tanapa, tra, tanroad wa bandar sio tajiri kumbe ww zumbu kuku chukua kijani uwe tajiriHuo ni mtazamo wako.
Siyo kila mtu ana malengo ya kuwa tajiriHakuna tajiri aliyeajiriwa
Lini nimekuja na Id ya Siasa?Mleta mada ameamua kuja na id mpya ili mpunguze kumkosoa, maana angekuja na ile id yake ya chawa wa CCM au kamanda wa CDM pangekuwa hapatoshi humu.