Kwenye connection ya kazi ya delivery agent kwa kampuni za mwanza anishtue au kazi yoyote ndani ya Mwanza

Kwenye connection ya kazi ya delivery agent kwa kampuni za mwanza anishtue au kazi yoyote ndani ya Mwanza

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Wakuu habari ya jumapili
Kwa heshima na tahadhima naomba kwenye connection ya kazi ya kufanya delivery ya mizigo kwa kampuni zilizopo Mwanza anishtue au kama kuna kazi yoyote halali mnipe jamani
Hali mbaya kitaa
Nina leseni ya udereva ninaweza kuendesha gari na pikipiki na nina ufahamu wa mitaa karibia yote ya jiji la Mwanza na vitongoji vyake.
 
Wakuu habari ya jumapili
Kwa heshima na tahadhima naomba kwenye connection ya kazi ya kufanya delivery ya mizigo kwa kampuni zilizopo Mwanza anishtue au kama kuna kazi yoyote halali mnipe jamani
Hali mbaya kitaa
Nina leseni ya udereva ninaweza kuendesha gari na pikipiki na nina ufahamu wa mitaa karibia yote ya jiji la Mwanza na vitongoji vyake.
kuna kampuni moja nilikuw nafanya kazi ipo dar lkn wana ofis zipo mwanza sisi wa dar tunafanya kaz kwa njia ya online huko mwanza pia wanawatu wengin lkn sas mziki wake sio poa kampuni inaendeshwa kihuni huni masaa ya kaz 11am up to 00am yan majamaa ni km hawapo serious na kaz japo chombo wanakupa kila kitu juu yao mafuta per day&service
 
kuna kampuni moja nilikuw nafanya kazi ipo dar lkn wana ofis zipo mwanza sisi wa dar tunafanya kaz kwa njia ya online huko mwanza pia wanawatu wengin lkn sas mziki wake sio poa kampuni inaendeshwa kihuni huni masaa ya kaz 11am up to 00am yan majamaa ni km hawapo serious na kaz japo chombo wanakupa kila kitu juu yao mafuta per day&service
Mkuu niunganishe nayo hiyo kampuni niwatafute
 
Back
Top Bottom