Kwenye game linda sana brand yako, IT wa bongo mnakubali vp kupiga window kwa elf 5?

Kwenye game linda sana brand yako, IT wa bongo mnakubali vp kupiga window kwa elf 5?

Unashangaa Kila mtu anajua kupiga window sasa...ndio maana mtu anakuja kupoteza file analia kama mbuzi..wazungu hawana papara kama weusi wanajua kuheshimu fani za watu hawataki mtu wakukisia kukisia ingekuwa hii dunia weusi wanamilik technolojia dunia ingekuwa kama kabul/Afghanistan
 
Elfu 5, Yes! wala sijakosea ni 5,000.

Nimeenda sehemu namkuta graduate wa computer science anapiga window kwa elf 5, like seriously guys?

Mtu kasoma chuo kwa mamilioni halafu atoe huduma kwa elfu 5?

Ni wazi hatambui hata uzito wa CV yake ya kusomea taaluma yake kwa miaka mitatu chuoni.
Kujua kupiga window haihitaji iwe umesoma IT ,hata wale walioishia la saba wanaweza vizuri tu.
 
Back
Top Bottom