Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Atcl Zetu zimeshapaki. Zimechoka. Hazipendi kuzurura usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona sema ndo inawahi ikapaki chato. Muda umeisha.Air Tz c Hiyo hapo ziwani inapiga mbizi kwenda Chatto, au hujaiona?
Sasa c hamtaki kusapoti vitu vya nyumbaniNimeiona sema ndo inawahi ikapaki chato. Muda umeisha.
Kuna wakati anga letu linatawaliwa Kenya airways na Ethiopia air.
Wenyewe wanavihujumu mkuu....nauli Tu Dom mwanza almost 600k kwanini ndege isiende na abiria wawili. Ipe muda SGR....utacheka.Sasa c hamtaki kusapoti vitu vya nyumbani
Duh, huko ndo kuna mishemishe, huku kwetu zimeshapaki wameenda kulewaUlaya ni Ulaya tu wakuu!
Anga la Tanzania ndege zinahesabika, angalia bara la ulaya!
View attachment 3053132
Bongo tuletee radar ya boda boda 😂Ulaya ni Ulaya tu wakuu!
Anga la Tanzania ndege zinahesabika, angalia bara la ulaya!
View attachment 3053132
Kule ni muda wote pipa zinapishana angani!Duh, huko ndo kuna mishemishe, huku kwetu zimeshapaki wameenda kulewa
Hapo utawaona maafisa usafirishaji wanavyounga mishikaki na virasta mpauko vyao. Pambaff ghabisa.Bongo tuletee radar ya boda boda 😂
🤣🤣Bongo tuletee radar ya boda boda 😂
Zina shida ya taa ndiyo maana haziruki usiku.
Hazijapaki, zinataga ili ziwe nyingi kana ulaya.
Tunaanzisha miradi inayopingana..!!!Wenyewe wanavihujumu mkuu....nauli Tu Dom mwanza almost 600k kwanini ndege isiende na abiria wawili. Ipe muda SGR....utacheka.
Hii nchi tatizo sio uongozi....tatizo ni mfumo uliopo ofisi hizi za ummaTunaanzisha miradi inayopingana..!!!
Tazama mji WA kibiashara NAIROBI linganisha na Dar Kwa wamachinga muda huuTunaanzisha miradi inayopingana..!!!