Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

toa uchizi wako hapa makonda mwache apige kazi
 
Kama na wewe una asili ya udhalilishaji au una hiyo hulka huwezi kuona. Haya mambo kuona na kuelewa vizuri mpaka uwe na akili timamu (uwe sober).
Tuoneshe kosa liko wapi wewe unayekua na mwenye akili.
 
Yaani vichwa maji sana hada hao haki za binaadamu. Badala yaende kuona watu wangapi wanakosa huduma kama haki zao za msingi wao eti kikauli cha makonda wanatoa macho
 
wanamwandama sana ila yule kwa mpango wa kiMungu....hata akitoka leo asiwe kiongozi bado haitasaidia..labda itakuwa faida kwa walaghai wezi nk
 
wanyooosheeeeeeeeeee kakaaa waanyoosheee hapooo awajakujuaa
 
ARUSHA HALMASHAURI IMEJAAA WEZI WATUPUUU MANISPAAA ZINAUZA VIWANJA VYA WATU KAMA VYA WAZAZI WAOOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…