Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Ningependa kujua undani wa makuzi yako, mfano jinsi baba yako alivyomtendea mama na dada zako. Najua ukweli kwamba kwa baadhi ya watu wa Musoma kwa mfano, hawawezi kuona tatizo la alichofanya Makonda. Sasa inawezekana kabisa na wewe malezi yako ndio yanakufanya usione tatizo hapa, lakini lipo. Labda fikiria kwamba yule dada angekuwa ni mama au dada yako, ungeona sawa alichofanyiwa?
Wewe unayeona tatizo onesha ni lipi hapo?
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
PUNGUZA UJINGA WA KUTETEA UJINGA
 
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect

Mleta mada ana upimbi wa kutosha
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Hakika mkuu, na ukiona mtu anashikia bango sana ujue ndio yeye aliyekuwa anataka kumchumbia mkuu wetu wa mkoa 🤣🤣🤣😂😔. Makonda piga kazi, ile ile mpaka boss wako aone aibu.
 
Unataka nitete mwanamke aneregeza sauti mbele ya halaiki na kuongea kama mtoto mdogo? Mbona alivyopandishiwa alianza kuongea sawa.

Yule mwanamke anaonesha kazowea kujirahisisaha na usikute hata hiyo nafasi aliipata kwa kugawa rushwa ya mwili wake. Anaonesha ni moefu wa ulaghai.
Ulaaniwe kwa kushuhudia uongo/kwa kumnena mwenzako sifa mbaya
 
Kiongozi serikalini unayemuwakilisha rais lazima ujue kauli za kuongea mbele za watu!! Kauli za makonda ni za kejeli,za hovyo na zisizo na maadili kwa kiongozi wa kiwango alichopo!!
Yeye hajawahi kudanganya? Je, aliitwa muongo hadharani? Yeye huwa hakosei? Je,hutukanwa hadharani na viongozi wake pale anapokosea??
Ninashangaa kiongozi anayejinasibu na 4R anawezaje kuchagua mtu kama huyu kumuwakilisha kwenye mkoa mkubwa wakitalii!!! Labda nichuki za kaskazini zinaendelea siajabu sabaya akapewa mkoa wa KLM...
Naichukia sana hii serikali!!
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Msio na akili mnaonekana kwa uwazi kabisa kuna tofauti sana maneno kuongelewa na na kiongozi mbele ya umati na kuongea vijiweni , watanzania wenye akili wanazidi kupungua wanabaki watanzania wenye ufinyu wa akili kabisaa na wewe ni mmoja wao
 
Rc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
Hiyo ni tafsiri yako wewe, clip wote tumeiona na kafanya ujinga ulio pitiliza ana majivuno sana na ulevi wa madaraka ndio kilemq chake , sijawahi kumkubali makonda hata mara moja
 
Kinana na chatanda wanatumika kumtengenezea makonda ajali ya kisiasa.

Mwenyekiti wa chama ambaye ni Rais ,ina maana alimteua mtu wa kuja kutishiwa akiwa anafanya majukumu yake!
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
ni kwasababu mnafanana akili na elimu ndugu. sio kosa lako.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Aliyewahi kutembelea Hospital ya Longido ajitokeze hapa....Alafu atuambie aliyejenga alikuwa Ni mtaalamu wa ujenzi au Ni shule ya ufundi waliitwa wajifunzie pale?
 
Aliyewahi kutembelea Hospital ya Longido ajitokeze hapa....Alafu atuambie aliyejenga alikuwa Ni mtaalamu wa ujenzi au Ni shule ya ufundi waliitwa wajifunzie pale?
Miradi inakuwa ya kisiasa. Longido ifike timu ya ERB kukagua huo mradi
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Kama na wewe una asili ya udhalilishaji au una hiyo hulka huwezi kuona. Haya mambo kuona na kuelewa vizuri mpaka uwe na akili timamu (uwe sober).
 
Wakosoaji wa Makonda wengi ni wajinga wajinga na hawamuwezi kwa lolote. Bahati mbaya nayeye keshajua hawamuwezi.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Makonda anang'aa sana
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Awamu ya Magufuli alidhalilisha sana wanawake ila hakuna aliyethubutu kuropoka

View: https://www.instagram.com/reel/C7ZlwXaq5Jp/?igsh=cnYybGdvNWVuNG4=
 
Back
Top Bottom