Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Hakutakiwa kuingiza mambo mambo binfasi wakati anamuelekaza, kumwabia haoingei na mchumba wake, sijui hayupo kwenye kitchen party, mara yeye ana mke mzuri nyumbani.... hapo tayari ame insinuate kuwa huyu manakamati anamtaka na anamtongoza na sio ku address alichoulizwa, kwenye kitchen party kuna mambo ya kijinga na kishenzi hivyo asiyalete hapo, kuongelea habari za mahusiano na mke wake ambazo ni maisha yake personal, yeye ni mbaya hana muonekano muzri... kwa kuelezea machache

Angekuwa hamsikii angemwambia sauti yake haisikiki aongeze, na sio kuanza kudive kwenye mambo personal au ku attack muonekano wake.

Amezembea mwadabishe lakini isivuke mipaka mpaka kumdhalilisha mtu au kumuonea kwasababu tu una mamlaka
Injia gani hajui hata Kiswahili?

Amekazana tu BQ BQ BQ!!!
 
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
Makonda amekosa ethics za kitawala,anaenda tu kama gari lisilo na breki
 
Rc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
Naona hata na wewe umeona kosa lake mpaka unatafuta namna ya kuliweka sawa, haikuwa kitu personal hivyo alitakiwa kubaki kwenye mstari huo...sio kuanza kuingiza vitu ambavyo havihusiki na vinashusha utu wake
 
Hakutakiwa kuingiza mambo mambo binfasi wakati anamuelekaza, kumwabia haoingei na mchumba wake, sijui hayupo kwenye kitchen party, mara yeye ana mke mzuri nyumbani.... hapo tayari ame insinuate kuwa huyu manakamati anamtaka na anamtongoza na sio ku address alichoulizwa, kwenye kitchen party kuna mambo ya kijinga na kishenzi hivyo asiyalete hapo, kuongelea habari za mahusiano na mke wake ambazo ni maisha yake personal, yeye ni mbaya hana muonekano muzri... kwa kuelezea machache

Angekuwa hamsikii angemwambia sauti yake haisikiki aongeze, na sio kuanza kudive kwenye mambo personal au ku attack muonekano wake.

Amezembea mwadabishe lakini isivuke mipaka mpaka kumdhalilisha mtu au kumuonea kwasababu tu una mamlaka
Upo makini Sana mkuu shikilia hapo hapo.
 
Makonda kafanya sawasawa, kampa ukweli mbele ya halaiki, yule mwanamke anaonesha ni tabia yake kujikwamua na kupata akitakaccho kwa kubana pua na kurembulia watu.

Kwenye hilo namuunga mkono Makonda 100%
 
Kama hilo linaathiri utendaji wake then due procedures zifuatwe, naona tumeelewana vizuri alipokosea Makonda kwenye uwasilishaji wake
Injinia hajui Kiswahili ndio maana hawezi kununua hata vifaa vya ujenzi.

Schedule of materials inasema hivi, yeye anakwenda kuboronga na kujinunulia vifaa anavyojua mwenyewe.

Hata Bargaining power hana. Amekazana tu na ma-BQ yake.
 
Makonda kafanya sawasawqa kampa ukweli mbele ya halaiki, yule mwanamke anaonesha ni tabia yake kujikwamua na kupata akitakaccho kwa kubana pua na kurembulia watu.

Kwenye hilo namuunga mkono Makonda 100%
Nilitarajia zaidi kutoka kwako kwenye hili, hata kama wewe ni chawa vitu vingine si vya kutetea. Hapa umeniangusha
 
Back
Top Bottom