Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

Makonda kafanya sawasawqa kampa ukweli mbele ya halaiki, yule mwanamke anaonesha ni tabia yake kujikwamua na kupata akitakaccho kwa kubana pua na kurembulia watu.

Kwenye hilo namuunga mkono Makonda 100%
Indeed.

Hawa ni wale mainjinia waliosomea ujinga.

Hata Kiswahili hajui.
 
Nilitarajia zaidi kutoka kwako kwenye hili, hata kama wewe ni chawa vitu vingine si vya kutetea. Hapa umeniangusha
Unataka nitete mwanamke aneregeza sauti mbele ya halaiki na kuongea kama mtoto mdogo? Mbona alivyopandishiwa alianza kuongea sawa.

Yule mwanamke anaonesha kazowea kujirahisisaha na usikute hata hiyo nafasi aliipata kwa kugawa rushwa ya mwili wake. Anaonesha ni moefu wa ulaghai.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Kitengo hiko
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Yule mwanamke wa Longido, hakujua anaongea na mkuu wa mkoa ambaye ni Rais WA mkoa.
 
Acha hizo we ngumbaru,
Hizo kazi ndio ofisi yake inapaswa kumuita na kumuwajibisha huyo mama km kuna kosa.
Mambo ya kuambizana usiongee na mimi km uko kitchen party na kusema nna "mke mzuri nyumbani"
As whats the https://jamii.app/JFUserGuide have to do in the job
 
Unataka nitete mwanamke aneregeza sauti mbele ya halaiki na kuongea kama mtoto mdogo? Mbona alivyopandishiwa alianza kuongea sawa.

Yule mwanamke anaonesha kazowea kujirahisisaha na usikute hata hiyo nafasi aliipata kwa kugawa rushwa ya mwili wake. Anaonesha ni moefu wa ulaghai.
Sijawahi kukusifia Wala kukupongeza.
Leo ninakupongeza👌
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Mwehu wewe
 
Hulka Moja ya Mwanadamu ni kusifia kitu chake, na Tena linapokuja suala la kusifia, Kwa hulka ya Mwanadamu , anahitaji kusifia kitu chake mbele ya watu ili kitu chake kijue kimesifiwa !!.


Swali ni je...Ni Upi udhalilishaji aloufanya PCM kwenye sentensi hiyo ?.


Mkutano wa PCM, ni mkutano aloitisha na Wananchi wa Kawaida kabisa, ambao vichwa vyao vinahitaji maelekezo sio Maelezo.


BIDADA mvaa miwani, anaoekana kutokua serious, anaonekana mwenye mazoea,,, PCM kama RC mwenye uzoefu na anayejua kinachoendelea.

Anamuamsha BIDADA kua Embu ongea Kwa Lugha ya Wananchi kukuelewa Kwa kua PCM ni mtu wa Hulka ya Kuchomekea anachomekea... "usiongee kama unaongea na mchumba wakoo ....... Unaongea na Wananchi................. Unajua mie na Mke na ni mzuri " .

hapa Kuna kundi Dogo la wapumbavu waloshindwa kutumia akili tu ya kawaida, na sas Kwa makusudi au Kwa udogo wa akili Yao, wameamua kuitengeneza hiii iwe kama habari !!.


Mh PCM kusema ana Mke Mzuri, Logically anamtaka BIDADA MIWANI kua serious , pili PCM ilikua ni lazima aseme "MKE MZURI" hii nadhani kwetu sisi wanaume TULIO OA , kumsifia Mkeo mbele ya watu, Huwa inakuongezea Uanaume na Kwa Mkeo inamsuuza Roho .

Kwan huyo Mvaa miwani, yeye Bwanake huwa hajinadi kua ana Mwanamke mzuri?. Mwanaume hata kama umeona Mwanamke mbaya wa sura au umbo , Huwa ni lazima UMSIFIE TU .


Hata hivo Upendo hsulazimishwi, na ukweli ni kua, Kama ambavyo Kuna wanaume wanene wafupi warefu weupe ,Wabaya wa sura na Sisi ma HB, Wanawake nao wapo Wabovu tu ndio Sababu Kuna Class za Akina Poshy Queen, Kajala , Uwoya, alafu Kuna Class zetu za huku mtaani.



Mwisho niseme, ARUSHA IMEPATA MKUU WA MKOA, TUMUACHE MAKONDA AFANYE KAZI .

MH PAUL MAKONDA, NI KIONGOZI SAHIHI WAKUIGWA MFANO, AMBAYE TUNAMUHITAJI.


Ukiachilia mbali Uwezo Mdogo wa akili na Kufuata mkumbo Kwa hiki kikundi Cha wapumbavu wanaojaribu kutengeneza mazingira mabaya Kwa Makonda,.... Hapa udhalilishaji uko wapi?????.
 
Rc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
Ni wapi yule dada aliweka utani? au ni wapi aliongea mambo ya mapenzi? alimwambia aongeze sauti kila dada akitaka kuanza kuongea anamchomekea maneno dada wa watu akawa anazidi kupata fedheha na ilisababishwa na yeye rc....unashadadia sabau si ndugu yako, angekuwa mamako, dadako au mkeo ungekaza mishipa ivo kutetea ukandamizaji ule?
binafsi napenda makonda anavyopiga kazi mana anamsaidia mh rais kutatua changamoto kadhaa ila kwa hili la huyu dada alinikwaza sana.
 
Hakuna Mahali alipomdhalilisha Mtu kwenye ule mkutano wa Wanakamati wa Halmashauri na Wananchi Mkoani Manyara Longido.

Akichoongea RC Makonda ndio maneno ya kawaida tunayotumia watu wengi na yamezoeleka sana wakati unapotaka kusisitiza Jambo na halijawahi kuwa Udhaliliashaji kwenye lugha na mila zetu.

Watu wasitake kukuza mambo.

Mtu hata kama humpendi basi usimsakizie mambo ambayo hayapo.

Kusema tu Usiongee na mimi kama mchumba wako ndio ionekane ni kosa hadi watu walishikie Bango?

Hebu tuwe serious tujikite kwenye mambo yenye tija.

Mbona nyinyi mnaiba pesa za umma na za hao hao wakina Mama na watoto hadi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma bora.

Mbona nyinyi mnafanya mambo ya matusi mnatembea na watoto wadogo, wengine hadi kuwadhalilisha kingono?

Mbona nyinyi wengine mnafanya hadi vitendo vichafu hadi aibu kuvisema hapa ikiwemo Ushoga na usagaji?

Makonda Paul Piga kazi achana na hawa waganga njaa.
Acha kutetea ujinga, kusema "usiongee na mimi kama unaongea na mchumba wako, kwanza nina mke mzuri sana" ni udhalilishaji wa hali ya juu mno na ingekuwa nchi ya waliostaarabika huyo mtu asingekuwa mkuu wa mkoa mpaka muda huu. Issues za uchumba na uzuri ni binafsi sana na hazihusiani hata kidogo na majukumu ya yule dada. Utetezi wako unakuanika tu, unaonekana hujastaarabika kama huyo unayemtetea.
 
Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly?

Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata wanaume, kila mtu ana haki ya kuwa treated with respect
You are a stereotypical keyboard warrior without two braincells to rub together. You are the idiot without any common sense. .

Kwenye hiyo Clip, Udhalilishaji uko wako??
 
Rc alichomanisha ni kuwa aongee serious na aweke manani sio mambo ya utani utani na sababu nyepesi nyepesi kama za mapenzi.
Kwa akili yako kidogo uliona kuna viashiria vya yule dada kumtaka Makonda au kuonesha ishara za mapenzi? Kwamba mtu kutosogeza maiki mdomoni ndo ishara za mapenzi!? Tumia akili hata kidogo tu
 
Acha kutetea ujinga, kusema "usiongee na mimi kama unaongea na mchumba wako, kwanza nina mke mzuri sana" ni udhalilishaji wa hali ya juu mno na ingekuwa nchi ya waliostaarabika huyo mtu asingekuwa mkuu wa mkoa mpaka muda huu. Issues za uchumba na uzuri ni binafsi sana na hazihusiani hata kidogo na majukumu ya yule dada. Utetezi wako unakuanika tu, unaonekana hujastaarabika kama huyo unayemtetea.
Nilichogundua, WaTZ ni wajinga na wafuata mkumbo.

Ulifanya analysis ya hiyo sentesi, utakuja nanhitimisho kua ni Udhalilishaji??.


Hujawah msifia Mkeo/ Mpenzio machoniwa watu ??.

Mule Bungeni wangapi Huwa wanawasifia Wake zao au waume zao??.
 
Nilichogundua, WaTZ ni wajinga na wafuata mkumbo.

Ulifanya analysis ya hiyo sentesi, utakuja nanhitimisho kua ni Udhalilishaji??.


Hujawah msifia Mkeo/ Mpenzio machoniwa watu ??.

Mule Bungeni wangapi Huwa wanawasifia Wake zao au waume zao??.
Yaani hadi inashangaza
 
Kwa akili yako kidogo uliona kuna viashiria vya yule dada kumtaka Makonda au kuonesha ishara za mapenzi? Kwamba mtu kutosogeza maiki mdomoni ndo ishara za mapenzi!? Tumia akili hata kidogo tu
Kwa ujinga wako na uelewa finyu uloujaza kichwan.
Unadhani PCM aliongea vile, Kwa kua alihisi Bidada anamtaka????.
 
Injinia hajui Kiswahili ndio maana hawezi kununua hata vifaa vya ujenzi.

Schedule of materials inasema hivi, yeye anakwenda kuboronga na kujinunulia vifaa anavyojua mwenyewe.

Hata Bargaining power hana. Amekazana tu na ma-BQ yake.
BQ ndo nini!? Kama makonda ana watetezi wa aina hii basi anapoteza hela zake bure!
 
Natamani samia anipe ukuu wa mkoa niwaadabishe wazembe mpaka wanyooke kama rula.

Ni kuwacharaza bakora kweli kweli.
Unajua kazi za mkuu wa mkoa? Unajua kazi za RAS? unazijua kazi za DC? unajua kazi za DAS? Unajua kazi za DED? na unajua kazi za DRHO? unajua kazi za mahakama?
 
Back
Top Bottom