Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni

Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za amiter na resistor kwenye physics na maswali yote 30 yalijikita huko

Swali langu ni je utumishi wanapima nini hapo mbona kada zingine kama nursing, pharmacy na C.O maswali yao yalijikita kwenye job description yao.

Au mtunzi wa mtihani alijichanganya mwenye experience na utumishi asaidie majibu, Huenda ugeni pia nikawa sijui sana kuhusu mitihani ya hawa Utumishi.
 
YANI UNAFUNGUA UZI KABSA KISA MASWALI YA VOLUMETRIC ANALYSIS,DENSITY NA V.C TENA MFAMASIA! uko vyuo unapigaji mahesabu ya dosage na mengne kama msingi tu huna ulijualo? kweli serikali imefanya la mboleo kupunguza vlaza kuptia utumishi na nashauri hadi ajira za polisi na jwtz ziptie utumishi kwanza then wakachujwe tena uko makambini ili kupunguza idadi ya vlaza serikalini
 
YANI UNAFUNGUA UZI KABSA KISA MASWALI YA VOLUMETRIC ANALYSIS,DENSITY NA V.C TENA MFAMASIA! uko vyuo unapigaji mahesabu ya dosage na mengne kama msingi tu huna ulijualo? kweli serikali imefanya la mboleo kupunguza vlaza kuptia utumishi na nashauri hadi ajira za polisi na jwtz ziptie utumishi kwanza then wakachujwe tena uko makambini ili kupunguza idadi ya vlaza serikalini
Dingi nahisi hujanielewa issue sio kukumbuka ilikuwa ni written interview ya wataalamu wa maabara za hospitali maswali yao hayakubase huko wakaja kutoa mambo za amiter, density na surface tension vitu ambavyo havihusiani na maarifa yao ya kuhudumia wagonjwa
 
Dingi nahisi hujanielewa issue sio kukumbuka ilikuwa ni written interview ya wataalamu wa maabara za hospitali maswali yao hayakubase huko wakaja kutoa mambo za amiter, density na surface tension vitu ambavyo havihusiani na maarifa yao ya kuhudumia wagonjwa
Havihusiani kvp yani kwani hayo mambo yote s yanapatkana maabara? acha kutetea ujnga
 
Back
Top Bottom