Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

Kwan sekondari uku soma hyo diploma yako umeipataje? sizan kama mtu aliptia form six kuenda diploma au digrii kama anaweza kulalamika kwa mtihan mlotolewa nyie ndo wale kikubwa uwe na D nne za sayansi form, pia hata wa div 1 had 3 akaamua aende diploma badala ya 5 na 6 hawez lalamika mtihan mgumu
sawa ndugu
 
Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni

Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za amiter na resistor kwenye physics na maswali yote 30 yalijikita huko

Swali langu ni je utumishi wanapima nini hapo mbona kada zingine kama nursing, pharmacy na C.O maswali yao yalijikita kwenye job description yao.

Au mtunzi wa mtihani alijichanganya mwenye experience na utumishi asaidie majibu, Huenda ugeni pia nikawa sijui sana kuhusu mitihani ya hawa Utumishi.
Ishu hapo n aplitude test mkuu ..wanajua vyote unajua ..Kuna logical reasoning, number reasoning n.k pia ni njia ya mchujo hiyo mkuu coz watu ni wengi
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-06-18-07-02-79.png
    Screenshot_2024-09-06-18-07-02-79.png
    162.6 KB · Views: 8
Mkuu lengo la interview ni kupunguza watu,unazani watatumia njia gani kupunguza watu,

Miaka yetu tulikua tunazama kwenye interview unaulizwa shati lako linavisikizo vingapi,ukikosea ni out,

Hivyo lengo la interview ni kupunguza watu,mjiandae na maswali yoyote
 
Kitu kama hujui uliza tuu mkuu, tangu lini utumishi wakaanda mitihani ya usaili? Wao wanasimamia tuu wala hawahusiki na hy mitihani, hizo lawama zako peleka halmashauri walioandaa hizo mitihani
Halmashauri kule wamejaa vilaza kwanza ata wao hawausiki kwenyekutunga hyo mitiani
 
Acha hyo. Leo kulikua na vituko kwenye pharmacy kwanza mitihani haikuwa sild, imeletwa kwenye mabox iko wazi yani unajua kabisa hapa kuna mchezo umechezwa.

Watu wamejazws kwenye chumba kimoja alaf hakuna distance yani unaweza kuandika hapa alaf una copy hapo. Jamaa yangu ananambia yani ule mtihani tayari kuna watu wapo kilichofanyika ni formality tu
Kwenye black = sealed

Kwenye red, jichanganye, maswali hayajapangwa kwa mtiririko unaofuatana kwa kila mtu, kopi ufeli.

Kwenye blue, huyo jamaa yako ni nani na kwanini tumuamini? Unajua interview haiko pale kufurahisha watu wote na ndio maana milio huwa ni mingi. Usaili ni usaili, achana na mambo ya formality, kama mtu hajapata wakati huu, anajaribu tena wakati ujao. Maisha hayakuletei kachumbari mezani, unapambana unaanguka unaamka unapambana tena.​

Kuna saili zitakuja za taasisi zenye asali nzito kwenye kada hiyo. Jiandae.
 
Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni

Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za amiter na resistor kwenye physics na maswali yote 30 yalijikita huko

Swali langu ni je utumishi wanapima nini hapo mbona kada zingine kama nursing, pharmacy na C.O maswali yao yalijikita kwenye job description yao.

Au mtunzi wa mtihani alijichanganya mwenye experience na utumishi asaidie majibu, Huenda ugeni pia nikawa sijui sana kuhusu mitihani ya hawa Utumishi.
Sasa mnapewa vitu vyepesi vya form two mnalia tena mnataka nini nyinyi viumbe, Wenzenu washapiga sana maswali ya research..... Hao ndio PSRS.
 
Back
Top Bottom