Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sawa ila ndio ameshalambwa hvy 😂Alienda kwenye interview ya MEDICAL LAB sio ya ualimu wa kemia sekondari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila ndio ameshalambwa hvy 😂Alienda kwenye interview ya MEDICAL LAB sio ya ualimu wa kemia sekondari
Ikitokea nimepita nitaleta ushuhuda😁Sawa ila ndio ameshalambwa hvy 😂
inashangaza sana yani d = M/V mtu anaianzishia mada kweliYan unataka uwe medical lab technician hata hesabu za density tu hujui? N mpumbavu t atatetea t huu ujnga
swali mserereko kama hili utalipatawapi ulimwenguni kama si mtu apewe gunia la misumariHCl + NaOH produce?
a) salt and water
b)salt
c)water
d)all of the above
Mtu anakosa hii then anakuja kuilaumu serikali😅😅
shida hujauona mtihani anyway upo sahihi kwa upande wako kitu watu wanakipigia kelele ni pale usahili ni wa kada ya afya maabara , maswali ya kada ya maabara mashuleni huoni sdifference hapo..yani paper la lab za hospitali likose vitu kama blood collection, culture and sensitivity, S.O.P.s huyu wanaemsaili kumbuka anaenda kuhudumia wagonjwa na sio kuandaa lab tests za mashuleniinashangaza sana yani d = M/V mtu anaianzishia mada kweli
hili halikuepo lilikuwepo principle ya heat kinetics je unaikumbuka?swali mserereko kama hili utalipatawapi ulimwenguni kama si mtu apewe gunia la misumari
ulitaka utengeneze blood smear,ivo mnajua tunataka kujua jee una msingi mzurishida hujauona mtihani anyway upo sahihi kwa upande wako kitu watu wanakipigia kelele ni pale usahili ni wa kada ya afya maabara , maswali ya kada ya maabara mashuleni huoni sdifference hapo..yani paper la lab za hospitali likose vitu kama blood collection, culture and sensitivity, S.O.P.s huyu wanaemsaili kumbuka anaenda kuhudumia wagonjwa na sio kuandaa lab tests za mashuleni
kwanini usahau vitu vidogo namna hii MUNGU wanguhili halikuepo lilikuwepo principle ya heat kinetics je unaikumbuka?
Test for starch unaikumbuka tusilaumu tu ase
Nilihisi umepewa maswali ya kina kinjekitile, kumbe ni Yale ya form 2? Mbona unamadeko sana🤣🤣 ila poleni mi hata ya la Saba siyakumbuk
kwanini usahau vitu vidogo namna hii MUNGU wangu
ndio uniulize maswali ambayo ni un professional mbona manesi na ma C.O hawajafanyiwa hvo kuulizwa unprofessional qns hii si sawaulitaka utengeneze blood smear,ivo mnajua tunataka kujua jee una msingi mzuri
Si kuchagua Wewe pachika pachika tu Ila jua mfumo tayari una majibu usije ukajikuta umepata 1/30 siku nyingine soma mpaka notice za la 6/7 usipuuze unaweza ukakutana na maswali ya Maarifa ya Jamii au Stadi za Kazi jicho litakutoka😁Kaka umaliza o level 2012 written interview yanatoka maswali ya nje na taaluma yako hapo kama sio kubet n nini? usilaumu tu
Density = Mass / Volumed = M/V
Define Electrolysisndio uniulize maswali ambayo ni un professional mbona manesi na ma C.O hawajafanyiwa hvo kuulizwa unprofessional qns hii si sawa
Mwajiri ni mlaji wa wataalamu waliozalishwa katika Vyuo mbalimbali na kusajiliwa au kuorodheshwa na Baraza..Define Electrolysis
Kitu kama hujui uliza tuu mkuu, tangu lini utumishi wakaanda mitihani ya usaili? Wao wanasimamia tuu wala hawahusiki na hy mitihani, hizo lawama zako peleka halmashauri walioandaa hizo mitihaniMwajiri ni mlaji wa wataalamu waliozalishwa katika Vyuo mbalimbali na kusajiliwa au kuorodheshwa na Baraza..
Ili kupata mtaalamu au wataalamu bora waajiri hutangazwa nafasi na kuwasaili.
Mtindo wa usaili, ni matakwa mwajiri. Lakini muhimu ukawa wa wazi.
Kwa upande wa Serikali, Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma ndiyo yenye jukumu la kuratibu mazoezi ya usaili; mtindo wao ni Mitihani ya Nadharia na Oral interview.
Kwa sasa, Sekreterieti inaratibu ajira kwa ajira ya TAMISEMI.
Vyuo, MeLSAT, HLPC wala Wizara ya Afya havihusiki katika kuandaa mitihani. Sekretarieti ya Ajira ndiyo inajua namna inavyopata maswali na kuyachakata na kuandaa mitihani ya usaili. Kuhusu kutunga maswali inaweza kuwatumia wataalamu wa Maabara waliopo katika Taasisi mbalimbali nchini kwa kuwaazima kwa muda kama inavyoona inafaa yenyewe.
Maabara ya Afya, inatofautiana na Maabara za Shule, Maabara za Viwanda, Maabara za Madini, Maabara za Maji, n.k. Sasa, utaona kwa taarifa/malalamiko ya awali, maswali waliyopewa wasailiwa si ya taaluma wa Maabara za Afya.
Kosa limefanyika upande wa Sekretarieti ya Ajira.
Hayo ni mambo ya kawaidaAcha hyo. Leo kulikua na vituko kwenye pharmacy kwanza mitihani haikuwa sild, imeletwa kwenye mabox iko wazi yani unajua kabisa hapa kuna mchezo umechezwa.
Watu wamejazws kwenye chumba kimoja alaf hakuna distance yani unaweza kuandika hapa alaf una copy hapo. Jamaa yangu ananambia yani ule mtihani tayari kuna watu wapo kilichofanyika ni formality tu
Mnalalamika mtihani mgumu kwa hesabu za molarity na concentration kwel? had density pia hamjui? v.c ya form 1 had mnachora nayo ujuh halaf mnataka mkatibu au mkaue watu?Mzee unakurupuka tu, vitu vingine sio vya kushabikia. Pole kwa mtoa mada umeambulia matusi tu
Kwan sekondari uku soma hyo diploma yako umeipataje? sizan kama mtu aliptia form six kuenda diploma au digrii kama anaweza kulalamika kwa mtihan mlotolewa nyie ndo wale kikubwa uwe na D nne za sayansi form, pia hata wa div 1 had 3 akaamua aende diploma badala ya 5 na 6 hawez lalamika mtihan mgumushida hujui lab za hospitali huwa zina nini wametoa paper ya lab za mashuleni