Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Yan unataka uwe medical lab technician hata hesabu za density tu hujui? N mpumbavu t atatetea t huu ujnga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Ndio tunaita kukariri kw muda cheti una A ,kichwani kuna Zero,kukumbuka changamoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwanini na reproduction wamesahau?
Pole aisee, ndio maisha hayo ...Dingi nahisi hujanielewa issue sio kukumbuka ilikuwa ni written interview ya wataalamu wa maabara za hospitali maswali yao hayakubase huko wakaja kutoa mambo za amiter, density na surface tension vitu ambavyo havihusiani na maarifa yao ya kuhudumia wagonjwa
kaka mwifa acha tu Interview ya leo imenikanda za uso narudi kwenye kijiwe changu boss ananambia niandike resignation letter kwa kutotii order yake ya kunitaka nisiende kwenye interview, nyie maisha haya😁Bwana atupe faraja wapambanaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee hii ndio inauma zaid!!kaka mwifa acha tu Interview ya leo imenikanda za uso narudi kwenye kijiwe changu boss ananambia niandike resignation letter kwa kutotii order yake ya kunitaka nisiende kwenye interview, nyie maisha haya😁Bwana atupe faraja wapambanaji
Hata Mimi darasa la 7 sikosi jibu d hapaHCl + NaOH produce?
a) salt and water
b)salt
c)water
d)all of the above
Mtu anakosa hii then anakuja kuilaumu serikali😅😅
😀😀Hata Mimi darasa la 7 sikosi jibu d hapa
HCl + NaOH produce?
a) salt and water
b)salt
c)water
d)all of the above
Mtu anakosa hii then anakuja kuilaumu serikali😅😅
Mzee unakurupuka tu, vitu vingine sio vya kushabikia. Pole kwa mtoa mada umeambulia matusi tuYANI UNAFUNGUA UZI KABSA KISA MASWALI YA VOLUMETRIC ANALYSIS,DENSITY NA V.C TENA MFAMASIA! uko vyuo unapigaji mahesabu ya dosage na mengne kama msingi tu huna ulijualo? kweli serikali imefanya la mboleo kupunguza vlaza kuptia utumishi na nashauri hadi ajira za polisi na jwtz ziptie utumishi kwanza then wakachujwe tena uko makambini ili kupunguza idadi ya vlaza serikalini
shida hujui lab za hospitali huwa zina nini wametoa paper ya lab za mashuleniHavihusiani kvp yani kwani hayo mambo yote s yanapatkana maabara? acha kutetea ujnga
Nimemsamehe bure hajui analolisema maana hajafanya mtihaniMzee unakurupuka tu, vitu vingine sio vya kushabikia. Pole kwa mtoa mada umeambulia matusi tu