kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
-
- #61
sawa nduguKwan sekondari uku soma hyo diploma yako umeipataje? sizan kama mtu aliptia form six kuenda diploma au digrii kama anaweza kulalamika kwa mtihan mlotolewa nyie ndo wale kikubwa uwe na D nne za sayansi form, pia hata wa div 1 had 3 akaamua aende diploma badala ya 5 na 6 hawez lalamika mtihan mgumu
ngoja nisubiri tu matokeo wanayachapisha leo mchanaMleta mada unalalamika mmeletewa mambo mepesi sana, yaani basics!
😂😂😂😂😂Hukuyasoma? Kama umeyasahau unamlaumu nani?
mtu kapiga yope kwenye chumba cha mtianiDensity = Mass / Volume
Refraction angelmtu kapiga yope kwenye chumba cha mtiani
Ishu hapo n aplitude test mkuu ..wanajua vyote unajua ..Kuna logical reasoning, number reasoning n.k pia ni njia ya mchujo hiyo mkuu coz watu ni wengiLeo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni
Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za amiter na resistor kwenye physics na maswali yote 30 yalijikita huko
Swali langu ni je utumishi wanapima nini hapo mbona kada zingine kama nursing, pharmacy na C.O maswali yao yalijikita kwenye job description yao.
Au mtunzi wa mtihani alijichanganya mwenye experience na utumishi asaidie majibu, Huenda ugeni pia nikawa sijui sana kuhusu mitihani ya hawa Utumishi.
Next time atapataAlienda kwenye interview ya MEDICAL LAB sio ya ualimu wa kemia sekondari
Halmashauri kule wamejaa vilaza kwanza ata wao hawausiki kwenyekutunga hyo mitianiKitu kama hujui uliza tuu mkuu, tangu lini utumishi wakaanda mitihani ya usaili? Wao wanasimamia tuu wala hawahusiki na hy mitihani, hizo lawama zako peleka halmashauri walioandaa hizo mitihani
Acha hyo. Leo kulikua na vituko kwenye pharmacy kwanza mitihani haikuwa sild, imeletwa kwenye mabox iko wazi yani unajua kabisa hapa kuna mchezo umechezwa.
Watu wamejazws kwenye chumba kimoja alaf hakuna distance yani unaweza kuandika hapa alaf una copy hapo. Jamaa yangu ananambia yani ule mtihani tayari kuna watu wapo kilichofanyika ni formality tu
Kada nyingine raha kweli huu mtihani ningepata 99hili halikuepo lilikuwepo principle ya heat kinetics je unaikumbuka?
Test for starch unaikumbuka tusilaumu tu ase
Sasa mnapewa vitu vyepesi vya form two mnalia tena mnataka nini nyinyi viumbe, Wenzenu washapiga sana maswali ya research..... Hao ndio PSRS.Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni
Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za amiter na resistor kwenye physics na maswali yote 30 yalijikita huko
Swali langu ni je utumishi wanapima nini hapo mbona kada zingine kama nursing, pharmacy na C.O maswali yao yalijikita kwenye job description yao.
Au mtunzi wa mtihani alijichanganya mwenye experience na utumishi asaidie majibu, Huenda ugeni pia nikawa sijui sana kuhusu mitihani ya hawa Utumishi.