Watakuelewa wachache sana wenye kukubali kuisumbua akiliNawaomba Ccm wote tumpe Membe kura ili tumwaibishe Maalimu na Lissu wake
Lissu ndiyo rais wetu watanzania kwa awamu ya sita.Kwa iyo umemnawa magufuli?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli Magufuli hana chake mwaka huu. Huu ni uthibitisho tosha kuwa Membe atapunguza kura chache atakazopata Magufuli na hana madhara yeyote kwa ushindi wa kimbunga wa Tundu Antiphas Lissu kwenye uchaguzi huu!
Na hiyo ndiyo kazi iliyo mleta Membe upinzani ingawa kimsingi cdm walisha izima kwa asilimia kubwa.Mimi pia niliwaza hivyo mkuu, lakini nikaconclude kwamba mpaka unaona mtu anaitisha press kama vile na anatoa ya moyoni, ujue kuna mambo ndani yalishagonga mwamba..
All in all hii game ilitakiwa Membe amuunge mkono Lissu hadharani kila mmoja ajue.. Maana kuendelea kuing'ang'ania iyo nafasi ni kuzigawa kura bure tuu
Watu wa ccm mmeishiwa mipango sasa mmebakiwa na maneno ya kwenye khangaAre you serious. Lissu huyu Huyu. Anashinda kwa Kura zipi. Nakuomba urudi hapa tarehe 1.11.2020. usione Aibu.
Huyu atakuwa alitumwa na CCMHakuna kulea tabia za kipuuzi kama hizo ambazo kimsingi zina dumaza upinzani hapa nchini kwetu.
Nia ya mh Membe haikuwa ni kuupigania upinzani wa kweli bali ilikuwa ni kuhakikisha kuwa upinzani mwaka huu unapotea kabisa na kuipatia ccm ushindi wa kishindo wa 99%.
Hilo mbona linajulikana toka mwanzo?Huyu atakuwa alitumwa na CCM
Na hawa ndo wanaongoza kwa kutufungulia thread humu za kulia lia kuomba msaada humu baada ya wanaemtetea kwenda kinyume na matarajio yao.Watu wa ccm mmeishiwa mipango sasa mmebakiwa na maneno ya kwenye khanga
Kwanini Zitto alimpokea?Hilo mbona linajulikana toka mwanzo?
Umesahau kuwa Zitto anachojali ni uwingi wa wabunge tu ili aongeze upatikanaji wa ruzuku?Kwanini Zitto alimpokea?
Amesema tusubiri goli la ushindi dakika ya 89, inawezekana hatujamuelewa atafungeje hili goli. Tatizo anatumia lugha ngumu, watu tuna mambo magumu mengi, hatuna muda wa kutafuna mifupa migumu hiyo, aseme wazi "yupo kivipi kwenye match"Mimi pia niliwaza hivyo mkuu, lakini nikaconclude kwamba mpaka unaona mtu anaitisha press kama vile na anatoa ya moyoni, ujue kuna mambo ndani yalishagonga mwamba..
All in all hii game ilitakiwa Membe amuunge mkono Lissu hadharani kila mmoja ajue.. Maana kuendelea kuing'ang'ania iyo nafasi ni kuzigawa kura bure tuu
akili zako fupi.....kwa tume gani?Acha kubisha ndugu, Tundu Lissu anachukua nchi hii mapema sana baada ya Ushindi wa kimbunga
Hilo liko wazi kabisa
Mimi pia niliwaza hivyo mkuu, lakini nikaconclude kwamba mpaka unaona mtu anaitisha press kama vile na anatoa ya moyoni, ujue kuna mambo ndani yalishagonga mwamba..
All in all hii game ilitakiwa Membe amuunge mkono Lissu hadharani kila mmoja ajue.. Maana kuendelea kuing'ang'ania iyo nafasi ni kuzigawa kura bure tuu
Amesema atafunga goli la ushindi dakika ya 89.Teh Membe kasema atakuwa Rais na kampeni hafanyi sasa sijui anataka kufanya mapinduzi?
Mkuuu njooo apa uwanja wa chuo cha ushirikaa. Uonee wachaga walivyovalia kijaniiii. Chademaa wanatia hurumaa. Uwanja unaendelea kutapika ata JPM wala hajawaza atakusogea uwanjanii. Chadema imebakia huko ikwiriri kibiti. Sisi wachaga tumeikataa mchana kweupee.
Nimeona maajabu pale Himo,magi wamehamisha majeshi.Vunjo inaelekea kusalimu amri kwa CCM.Mkuuu njooo apa uwanja wa chuo cha ushirikaa. Uonee wachaga walivyovalia kijaniiii. Chademaa wanatia hurumaa. Uwanja unaendelea kutapika ata JPM wala hajawaza atakusogea uwanjanii. Chadema imebakia huko ikwiriri kibiti. Sisi wachaga tumeikataa mchana kweupee.