Kwenye Mahusiano Upande Wenye Nguvu Ni Ule Uliowekeza Kidogo

Kwenye Mahusiano Upande Wenye Nguvu Ni Ule Uliowekeza Kidogo

ShyaRuwa

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
7,895
Reaction score
13,643
Hakuna mahusiano yaliyo balance 50/50. Lazima kuna upande unaogharamia/wekeza kwenye mahusiano zaidi ya upande mwingine. Anayewekeze zaidi kwenye mahusiano ndiye anayemuhitaji mwenzie kuliko mwenzie anavyomuhitaji yeye, na mara nyingi ndiye mwanzilishi wa hayo mahusiano.

Kwenye uhusiano kati ya mwanaume na mwanamke, kila mmoja anawekeza lakini kwa jinsi, na viwango tofauti. Mwanaume anawekeza pesa(vyingine ni attention & commitment) na mwanamke anawekeza $3X(pussy).

Unaweza kuona kama vile ni unfair exchange lakini ndio uhalisia. Moyo wa mwanaume ni wallet yake na moyo wa mwanamke upo katikati ya miguu yake. Mwanaume akikutana na mwanamke akampenda na kutaka kuendelea kuwa naye atakachofanya ni ku spend kwa huyo mwanamke hata kabla hajamfanyia chochote.

Mwanamke yeye akikutana na mwanaume akampenda na kutaka kuwa naye cha kwanza atakachofanya ni kulala naye. Atampa ishara na mitego hadi Baharia amege Apple bila ya kutoa cent moja. Sex kwa mwanamke inatengeneza emotional bond, kuhisi kwamba anatakiwa kuwa karibu zaidi na huyo mwanaume. Hii inatokana na baada ya sex mwanamke ndiye anayebaki na gharama kubwa. Psychologically, anapiga hesabu za miezi tisa ya mimba na pengine miaka 4 ya kulea mtoto mchanga. Ndio maana mwanamke anaweza kuwa haeleweki lakini baada ya sex upendo wake unaongezeka. Emotional bond anayojenga mwanamke baada ya sex inafanya sex iwe uwekezaji wa mwanamke kwenye mahusiano.

Kwa mwanaume ni tofauti, sex haijengi emotional bond, wala haimanishi sawasawa na ilivyo kwa mwanamke.
Mwanaume anajenga bond kwa ku spendi/kujitoa/sadaka.
Imeandikwa "Ilipo hazina ya mtu ndipo utakapokuwepo moyo wake" Matthew 6: 21, For where your treasure is, there also is your heart.

Kama unataka kuteka moyo wa mwanaume iteke kwanza wallet yake. Mfanye aspend kwako to the point of no return. Wanaume wengi wamekutana na wanawake wa kawaida sana lakini wameshindwa kuwaacha, why? Kwa sababu hao wanawake waliwafanya hao wanaume watumie pesa zao zaidi kwenye mahusiano. Mwanaume anaweza kuwa na sababu za kuvunja mahusiano lakini akipiga hesabu pesa alizotumia anashindwa kuachana, our hearts follow our treasures.

Wanaume kujenga bond kwa ku spend ni mojawapo ya sababu zinazofanya taasisi mbalimbali za kidini ama kisiasa kuhimiza wafuasi wao kujitoa kwa sadaka na michango mbalimbali. Siyo kwamba wanashida materially bali wanataka kupata uhakika wa loyalty ya wafuasi wao. Mtu akishawekeza sana mahali anajihisi kuwa connected na mahali pale. Hata mitaani, ukishazoea kununua vitu duka/ ama mgahawa fulani kwa muda mrefu itafika mahali uhisi kwenda kununua kwingine ni usaliti ingawa pesa ni yako mwenyewe.

Sasa tumeona jinsi mwanaume na mwanamke wanavyowekeza kwenye mahusiano. Sasa nani mweye Nguvu? Ni Yule aliyekuwa wa kwanza kupokea uwekezaji wa mwenzie, ambaye alikuwa na option ya kukatisha mahusiano kabla ya yeye kuwekeza. Anayekuwa wa kwanza kum approach mwingine ndiye trophy chesser, atatakiwa kuwekeza kama njia ya kubond na huyo trophy wake, na ndiye mwenye Nguvu kidogo kwenye mahusiano na kama yatavunjika ndiye ataumia zaidi.

Ujanja ni kuwa kwenye mahusiano ambayo mwingine ndiye mwekezaji mkuu. Ni kheri kupokea kwanza kabla ya kutoa.
 
Ukweli Mtupu!.

Kuna mwanamke nilikuwa naye kimahusiano. I spent a lot on her. Nikapata chimbo jipya, ila unajua nini sikutaka kuachana naye.

Akili yangu ilikuwa inaniambia bado kiwango cha pesa ulichokitumia hakijarudi. Endelea kula mzigo baba. Nakaza moyo naendelea naye.

Bahati mbaya sana, kuliko gharama irudi kwa kuchakata Mbunye ndiyo gharama inaongezeka kila uchwao.

Gharama ya kuendelea kuitunza, inazidisha gharama ya kile ninachokitumia. Na kamwe thamani haitorudi.

Niliamua kuoa, nikaitupilia mbali. Umenikumbusha mbali sana. Mpaka nimetamani tena kumtafuta.
 
Ukweli Mtupu!.

Kuna mwanamke nilikuwa naye kimahusiano. I spent a lot on her. Nikapata chimbo jipya, ila unajua nini sikutaka kuachana naye.

Akili yangu ilikuwa inaniambia bado kiwango cha pesa ulichokitumia hakijatudi. Endelea kula mzigo baba. Nakaza moyo naendelea naye.

Bahati mbaya sana, kuliko gharama irudi kwa kuchakata Mbunye ndiyo gharama inaongezeka kila uchwao.

Ghatama ya kuendelea kuitunza, inazjdisha gharama ya kile ninachokitumia. Na kamwe thamani haitorudi.

Niliamua kuoa, nikaitupilia mbali. Umrnikumbusha mbali sana. Mpaka nimetamani tena kumtafuta.
Kumbe
 
Ukweli Mtupu!.

Kuna mwanamke nilikuwa naye kimahusiano. I spent a lot on her. Nikapata chimbo jipya, ila unajua nini sikutaka kuachana naye.

Akili yangu ilikuwa inaniambia bado kiwango cha pesa ulichokitumia hakijarudi. Endelea kula mzigo baba. Nakaza moyo naendelea naye.

Bahati mbaya sana, kuliko gharama irudi kwa kuchakata Mbunye ndiyo gharama inaongezeka kila uchwao.

Gharama ya kuendelea kuitunza, inazidisha gharama ya kile ninachokitumia. Na kamwe thamani haitorudi.

Niliamua kuoa, nikaitupilia mbali. Umenikumbusha mbali sana. Mpaka nimetamani tena kumtafuta.
Ulisanuka mapema, issue haikuwa mwanamke bali pesa ulizowekeza.
Ubaya wa kuwekeza una bond na mradi husika. Subconsciously ni kama unasubiri kuvuna baada ya kupanda, ajabu ni, upande mwingine hau feel connected na sponsor. Yaani mpokeaji hajengi bond na mtoaji.
Mtu anaweza kuwa mteja wa mara kwa mara wa cash duka/genge fulani, siku akienda kukopa anaweza kukataliwa sababu mpokeaji hajengi bond kwa mtoaji.

Kuhonga kunamfanya mwanaume ampende mwanamke zaidi na sii vinginevyo.
 
Hakuna mahusiano yaliyo balance 50/50. Lazima kuna upande unaogharamia/wekeza kwenye mahusiano zaidi ya upande mwingine. Anayewekeze zaidi kwenye mahusiano ndiye anayemuhitaji mwenzie kuliko mwenzie anavyomuhitaji yeye, na mara nyingi ndiye mwanzilishi wa hayo mahusiano.

Kwenye uhusiano kati ya mwanaume na mwanamke, kila mmoja anawekeza lakini kwa jinsi, na viwango tofauti. Mwanaume anawekeza pesa(vyingine ni attention & commitment) na mwanamke anawekeza $3X(pussy).

Unaweza kuona kama vile ni unfair exchange lakini ndio uhalisia. Moyo wa mwanaume ni wallet yake na moyo wa mwanamke upo katikati ya miguu yake. Mwanaume akikutana na mwanamke akampenda na kutaka kuendelea kuwa naye atakachofanya ni ku spend kwa huyo mwanamke hata kabla hajamfanyia chochote.

Mwanamke yeye akikutana na mwanaume akampenda na kutaka kuwa naye cha kwanza atakachofanya ni kulala naye. Atampa ishara na mitego hadi Baharia amege Apple bila ya kutoa cent moja. Sex kwa mwanamke inatengeneza emotional bond, kuhisi kwamba anatakiwa kuwa karibu zaidi na huyo mwanaume. Hii inatokana na baada ya sex mwanamke ndiye anayebaki na gharama kubwa. Psychologically, anapiga hesabu za miezi tisa ya mimba na pengine miaka 4 ya kulea mtoto mchanga. Ndio maana mwanamke anaweza kuwa haeleweki lakini baada ya sex upendo wake unaongezeka. Emotional bond anayojenga mwanamke baada ya sex inafanya sex iwe uwekezaji wa mwanamke kwenye mahusiano.

Kwa mwanaume ni tofauti, sex haijengi emotional bond, wala haimanishi sawasawa na ilivyo kwa mwanamke.
Mwanaume anajenga bond kwa ku spendi/kujitoa/sadaka.
Imeandikwa "Ilipo hazina ya mtu ndipo utakapokuwepo moyo wake" Matthew 6: 21, For where your treasure is, there also is your heart.

Kama unataka kuteka moyo wa mwanaume iteke kwanza wallet yake. Mfanye aspend kwako to the point of no return. Wanaume wengi wamekutana na wanawake wa kawaida sana lakini wameshindwa kuwaacha, why? Kwa sababu hao wanawake waliwafanya hao wanaume watumie pesa zao zaidi kwenye mahusiano. Mwanaume anaweza kuwa na sababu za kuvunja mahusiano lakini akipiga hesabu pesa alizotumia anashindwa kuachana, our hearts follow our treasures.

Wanaume kujenga bond kwa ku spend ni mojawapo ya sababu zinazofanya taasisi mbalimbali za kidini ama kisiasa kuhimiza wafuasi wao kujitoa kwa sadaka na michango mbalimbali. Siyo kwamba wanashida materially bali wanataka kupata uhakika wa loyalty ya wafuasi wao. Mtu akishawekeza sana mahali anajihisi kuwa connected na mahali pale. Hata mitaani, ukishazoea kununua vitu duka/ ama mgahawa fulani kwa muda mrefu itafika mahali uhisi kwenda kununua kwingine ni usaliti ingawa pesa ni yako mwenyewe.

Sasa tumeona jinsi mwanaume na mwanamke wanavyowekeza kwenye mahusiano. Sasa nani mweye Nguvu? Ni Yule aliyekuwa wa kwanza kupokea uwekezaji wa mwenzie, ambaye alikuwa na option ya kukatisha mahusiano kabla ya yeye kuwekeza. Anayekuwa wa kwanza kum approach mwingine ndiye trophy chesser, atatakiwa kuwekeza kama njia ya kubond na huyo trophy wake, na ndiye mwenye Nguvu kidogo kwenye mahusiano na kama yatavunjika ndiye ataumia zaidi.

Ujanja ni kuwa kwenye mahusiano ambayo mwingine ndiye mwekezaji mkuu. Ni kheri kupokea kwanza kabla ya kutoa.
 
mkuu mi nafahamu ili utengeneze bond na mwanamke. na hiyo bond ni chemical bond na ndo inanguvu sanaa ni lazima usex na mwanamke kwa ufundi hadi apate orgasimm wakati anafika kileleni kuna homoni pendwa ya oxytocin ndiyo itakayomfanya awe na chemical bond kwakwo. sasa mtihani uko wapi??

inakuhitaji kuwekeza kwakwe vitu 3 navyo ni pesa,commitment na attention, sasa kama wewe baharia unaweza ukaweka pesa pembeni ukawekeza atttention na commitment tu, najua commitment(kujitoa kwakwe) kuna muda pesa inaweza hitajika katika kujitoa kwakwe, we jitoe kwa mambo yote yasiohitaji pesa bali nguvu yako tu ndo ihitajike. sasa unafanya hivi kwa lengo la kumvua chupi tu, kumbuka upande wa pili ambao ni yeye anachoringia ni **** tu na ndo akiwa wa kwanza kuwekeza kwako ni lazima atumie **** yake tu before kukupa pesa yake, anakupa **** ili tu atengeneze bond na wewe na ndo chemical bond, yaani muungano wa kimuhemko ME na KE.

ukifanikiwa kumvua chupi kwa tricks ya attention na commitment na ukaila **** vizuri bila papala hadi ukampa orgasimm , basi utakuwa umefaulu kuweka bond kwakwe. na ni hatua ya pili kumgeuza aanze kuwekeza kwako kwasababu teali umeona na kutumia utupu wake na ndo kitu pekee cha dhamani kwakwe hana jipya tena, ni baadhi wanawake wachache ukute ana pesa, anaweza invest kwakwo na pesa pia but ni wachache wengi wanatumia **** kuwekezaa.

kumbuka pesa inauma sanaa ikipotea pasipokukuletea matunda, basi badala ya kumgaramia kwa pesa, basi tumia hizo pesa kujitunza wewe mwenyewe kama mtoa maada alivyopendekeza, itumie pesa kununua nguo nzuri,kula vizuri , kununua manukato kama vile perfumes ya aventus(woman killers), zama alibaba cheki suti kali za laki mbili, na vingine utaongezea.

kama mtoa maada alivyosema, jitahidi usiwekeze kwa manamke. mfanye awekeze kwako achanganyikiwe hadi afe, ukiwa wa kwanza kumfuata basi usiwekeze pesa jamani pesa inauma sanaa ikipotea bila faidaa, ni bora waile wazazi wangu sio mwanamke.
 
Back
Top Bottom