Kwenye maisha jifunze sana kuongea ili kuleta suluhisho na sio kujitetea au kutaka ushindi

Kwenye maisha jifunze sana kuongea ili kuleta suluhisho na sio kujitetea au kutaka ushindi

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Kuna mtu ananielewa?

Ni kawaida kwa asili ya binadamu kutaka kuwa na hulka ya utimilifu na kutamani mazuri pekee.

Ndiyo maana katika maongezi yetu mara nyingi ni ligi na ushindani, hatuongei ili kusuluhisha bali tunajitetea kwa kuhakikisha tupo sahihi.

Matokeo yake ni vigumu mno kumaliza mijadala iliyo mingi kwa amani. Kila mmoja anataka kuwa sahihi, hata kama anasema uongo kwa kujua ama kutojua.

Hii haina afya, huwezi kushinda kila ligi. Hata ukishinda ikiwa ni kwa Hila huwezi kuwa na amani, tujifunze.

Tunapozungumza kitu iwe ni kwa uhakika, kwa lengo la kutatua na si kushindana.

Wasalaam!
 
Kuna mtu ananielewa?

Ni kawaida kwa asili ya binadamu kutaka kuwa na hulka ya utimilifu na kutamani mazuri pekee.

Ndiyo maana katika maongezi yetu mara nyingi ni ligi na ushindani, hatuongei ili kusuluhisha bali tunajitetea kwa kuhakikisha tupo sahihi.

Matokeo yake ni vigumu mno kumaliza mijadala iliyo mingi kwa amani. Kila mmoja anataka kuwa sahihi, hata kama anasema uongo kwa kujua ama kutojua.

Hii haina afya, huwezi kushinda kila ligi. Hata ukishinda ikiwa ni kwa Hila huwezi kuwa na amani, tujifunze.

Tunapozungumza kitu iwe ni kwa uhakika, kwa lengo la kutatua na si kushindana.

Wasalaam!
Watu hasa WaTz hawana hoja zenye nguvu, bali hutumia hoja za nguvu, kulazimisha na kuwatisha wenye nguvu ya hoja.
 
Back
Top Bottom