Kwenye majukwaa ya kimataifa, Rais Samia atumie akili ya ziada na welevu kujadiliana na kuongea

Kwenye majukwaa ya kimataifa, Rais Samia atumie akili ya ziada na welevu kujadiliana na kuongea

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Katika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.

Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.

Hivi karibuni Raisi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.

Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.

Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.

Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.

Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.

Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.

Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na welevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.

Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private or between four walls or on/off record".

Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.

Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.

Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.

Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.

Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.

Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.
 
Acheni kumpa majukumu makubwa ambayo si yake Mh Rais

Katika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.

Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.

Hivi karibuni Raidi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.

Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.

Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.

Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.

Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.

Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.

Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na werevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.

Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private".

Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.

Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.

Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.

Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.

Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.

Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.
 
Bwashee hiyo akili ya ziada huwa inapatikana wapi? Zinauzwa hapa hapa bongo au inabidi uagize online toka Amazon?
Haya, kwa kiasi kikubwa, ni matatizo ya kijamii.

Mtoto analelewa tangu mdogo awe mtu wa kutohoji mambo, asikilize wakubwa tu, anakuwa mkubwa anaenda shule haruhusiwi kumbishia mwalimu, anaanza kazi haruhusiwi kumkosoa bosi, anakuwa Makamu wa Rais anaburuzwa na rais wake.

Halafu anakuja kuwa rais, unamwambia atumie akili ya ziada.

Akili ya ziada imezimwa kuanzia anazaliwa mpaka anakuwa Makamu wa Rais.

Ataipata wapi akiwa Rais?

Frame of reference yake yote ishakuwa messed up, hajasoma vitu muhimu, hajui hata kujieleza, anakwenda na the bare basics.

Akili ya ziada ataipata wapi?

Wamwambia mtu atumie non-Euclidean geometry, wakati hata hiyo Euclidean geometry haijui..

Rais Samia anahitaji mafunzo ya rhetoric, sanaa ya kujieleza. Yani hata akiulizwa maswali magumu ambayo hawezi kuyajibu hapo kwa papo, ajue kutoa majibu ya ku deflect kupata muda zaidi wa kupata majibu yaliyochakatwa kwenye kuangalia mikakati na sera. Si anataka kujibu kila kitu kutoka kichwani halafu anatupa habari za "flat chested athletes" zinavyotuonesha alivyo mtupu.

Akiweza hilo, akili ya ziada anaweza hata ku outsource kutoka kwa "policy wonks".
 
Mtu alifeli darasa la nne,akarudia,akafeli kidato cha pili akarudia akafeli form four badae akarudia masomo kama private candidate,elimu yake ikawa ya kuunga unga,unafikiria ataweza kujibu swali kwa weledi,akienda hard talks anaweza kutoa siri zote za nchi na zake binafsi,ndo shida ya kuongozwa na watu wenye elimu ya kuunga!
 
Katika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.

Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.

Hivi karibuni Raidi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.

Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.

Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.

Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.

Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.

Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.

Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na werevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.

Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private".

Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.

Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.

Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.

Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.

Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.

Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.
Hivi mtu mwenye ilmu (badala ya elimu), tena ilmu ya kuunga unga atapata wapi akili ya ziada na werevu!?!
 
Mtu alifeli darasa la nne,akarudia,akafeli kidato cha pili akarudia akafeli form four badae akarudia masomo kama private candidate,elimu yake ikawa ya kuunga unga,unafikiria ataweza kujibu swali kwa weledi,akienda hard talks anaweza kutoa siri zote za nchi na zake binafsi,ndo shida ya kuongozwa na watu wenye elimu ya kuunga!

Oh My God, mbavu zangu
 
Katika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.

Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.

Hivi karibuni Raidi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.

Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.

Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.

Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.

Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.

Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.

Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na werevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.

Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private".

Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.

Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.

Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.

Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.

Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.

Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.

sio hayo tu sasa hivi wanamtumia CAG kumchafua makufuli na kina zito kabwe ili legancy ya makufuli izidi kushuka maana wanaona bado wananchi wengi wanamkubali jpm wanawatumia CAG na vibaraka wengine
 
Mtu alifeli darasa la nne,akarudia,akafeli kidato cha pili akarudia akafeli form four badae akarudia masomo kama private candidate,elimu yake ikawa ya kuunga unga,unafikiria ataweza kujibu swali kwa weledi,akienda hard talks anaweza kutoa siri zote za nchi na zake binafsi,ndo shida ya kuongozwa na watu wenye elimu ya kuunga!
Whatever you gonna write dude ,she is currently your president and you have nothing to change expect to endure for 8 yrs.
 
Hivi mtu mwenye ilmu (badala ya elimu), tena ilmu ya kuunga unga atapata wapi akili ya ziada na werevu!?!
Sukuma gang at work,Man wether you disrespect her education background or what that does not mean she can not be good president along the time she will change and be the good one compared to her predecessor.
 
Haya, kwa kiasi kikubwa, ni matatizo ya kijamii.

Mtoto analelewa tangu mdogo awe mtu wa kutohoji mambo, asikilize wakubwa tu, anakuwa mkubwa anaenda shule haruhusiwi kumbishia mwalimu, anaanza kazi haruhusiwi kumkosoa bosi, anakuwa Makamu wa Rais anaburuzwa na rais wake.

Halafu anakuja kuwa rais, unamwambia atumie akili ya ziada.

Akili ya ziada imezimwa kuanzia anazaliwa mpaka anakuwa Makamu wa Rais.

Ataipata wapi akiwa Rais?

Frame of reference yake yote ishakuwa messed up, hajasoma vitu muhimu, hajui hata kujieleza, anakwenda na the bare basics.

Akili ya ziada ataipata wapi?

Wamwambia mtu atumie non-Euclidean geometry, wakati hata hiyo Euclidean geometry haijui..

Rais Samia anahitaji mafunzo ya rhetoric, sanaa ya kujieleza. Yani hata akiulizwa maswali magumu ambayo hawezi kuyajibu hapo kwa papo, ajue kutoa majibu ya ku deflect kupata muda zaidi wa kupata majibu yaliyochakatwa kwenye kuangalia mikakati na sera. Si anataka kujibu kila kitu kutoka kichwani halafu anatupa habari za "flat chested athletes" zinavyotuonesha alivyo mtupu.

Akiweza hilo, akili ya ziada anaweza hata ku outsource kutoka kwa "policy wonks".
Na vipi kuhusu yule Rais wenu wa taifa kubwa duniani anavyoaiibisha taifa katika hotuba zake ? Bonge la mzigo , kila siku White House wanahaha kurekebisha hahahhaaha
 
Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.
Ndio maana wanasiasa wanaitwa watu waongo na wasioaminika kwani huficha ukweli ili kufanikisha mambo yao binafsi. Inashangaza kwamba wewe unapenda kudanganywa na unamtaka Samia adanganye ulimwengu wote. Angesema kwamba alikubaliana na Magufuli kwenye masuala covid wala wewe usingeona shida, ila ameongea ukweli sasa wewe ndio unamuona hajui diplomacy/politics?!
 
Huu ndio muda wa mataifa ya nje kutumia udhaifu wa Samia kufanya wanachotaka nchini.
 
Back
Top Bottom