Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikuwa muuaji hatari sanasio hayo tu sasa hivi wanamtumia CAG kumchafua makufuli na kina zito kabwe ili legancy ya makufuli izidi kushuka maana wanaona bado wananchi wengi wanamkubali jpm wanawatumia CAG na vibaraka wengine
Sukuma gang kazini. Kuna mmoja alimwita Jiwe MunguPengo la Dr Mahiga na Prof Kabudi limeionekana wazi.
Mwenye akili kubwa Ni yule ALIYEPORA KOROSHO za watu Mtwara halafu wakampa Mfanyabiashara mkenya TAPELI AKAZIWEKA ALIBABA.HIYO AKILI YA ZIADA NA WEREVU ANAO?
Tumekushauri mara nyingi, hiyo mimba ya jiwe itoe.Jiwe alikuwa muuaji hatari sana
Vyeti feki?Mwenye akili kubwa Ni yule ALIYEPORA KOROSHO za watu Mtwara halafu wakampa Mfanyabiashara mkenya TAPELI AKAZIWEKA ALIBABA.
Nchi hii sijui kina Mkapa na Kikwete walilrwa Nini kuleta Rais mwehu Kama Magu aisee
Yes, na Niko Jeshini.Vyeti feki?
Mimi najua prof. Baregu alifeli la nane na akaungaunga hadi profesa.Mtu alifeli darasa la nne,akarudia,akafeli kidato cha pili akarudia akafeli form four badae akarudia masomo kama private candidate,elimu yake ikawa ya kuunga unga,unafikiria ataweza kujibu swali kwa weledi,akienda hard talks anaweza kutoa siri zote za nchi na zake binafsi,ndo shida ya kuongozwa na watu wenye elimu ya kuunga!
Acha ujinga, jeshini hakuna tranny.Yes, na Niko Jeshini.
Vipi umesha osha vyombo hapo kwa Nikki wa Pili. Maliza haraka ukakate majani ya Nguruwe.
Unatafuta justification kwenye jambo lako hewa. Eti yenyr uzito ni nje ya bara la afrika. Kwa hiyo ukiwa south Africa, Zambia au Nigeria unakua upo bado TZ?
Richard,
..Kwanza tuelewe MALENGO ya ziara ya Ssh huko ughaibuni.
..Pili tuelewe REPUTATION ya Jpm huko ughaibuni.
..Kwa mtizamo wangu, Ssh hakukosea ktk majibu yake kuhusu Jpm.
..angesema anakubaliana na misimamo ya Jpm, kungeibuka maswali ya ziada ambayo yangemtaka Ssh atetee misimamo yenye utata ya Jpm.
..Katika ziara zake huko nje Ssh anataka kuvutia investors na watalii hapa nchini.
..Je, Ssh akisema yeye na Jpm ni kitu kimoja, would that boost or diminish investors confidence?
..Kwa upande wangu namshauri Rais to avoid trying to be what she is not.
..If she is not a policy wonk, then she should not try to be one.
..If she is not talkative and a comedian, then she should avoid telling jokes during her speeches and interviews.
..Ssh ajitahidi kuwa MKWELI na WELL INFORMED and she will be just fine.
Cc Nguruvi3, Chige
Ataaminika kwa namna gani? Investors watamuamini vipi kama wakati JPM anaishi alionesha yuko kitu kimoja na yeye kama waje msaidizi number one hadi kutovaa barakoa hadharani.
Rekebisha neno ‘Welevu’ ndio tuchangieKatika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.
Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.
Hivi karibuni Raisi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.
Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.
Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.
Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.
Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.
Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.
Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na werevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.
Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private or between four walls or on/off record".
Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.
Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.
Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.
Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.
Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.
Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.
..ataaminika ikiwa ATAJITOFAUTISHA na Jpm kwa maneno na matendo.
I can't really figure out what your are trying to say mate.Richard,
..Kwanza tuelewe MALENGO ya ziara ya Ssh huko ughaibuni.
..Pili tuelewe REPUTATION ya Jpm huko ughaibuni.
..Kwa mtizamo wangu, Ssh hakukosea ktk majibu yake kuhusu Jpm.
..angesema anakubaliana na misimamo ya Jpm, kungeibuka maswali ya ziada ambayo yangemtaka Ssh atetee misimamo yenye utata ya Jpm.
..Katika ziara zake huko nje Ssh anataka kuvutia investors na watalii hapa nchini.
..Je, Ssh akisema yeye na Jpm ni kitu kimoja, would that boost or diminish investors confidence?
..Kwa upande wangu namshauri Rais to avoid trying to be what she is not.
..If she is not a policy wonk, then she should not try to be one.
..If she is not talkative and a comedian, then she should avoid telling jokes during her speeches and interviews.
..Ssh ajitahidi kuwa MKWELI na WELL INFORMED and she will be just fine.
Cc Nguruvi3, Chige
Yaan kikubwaa ni kwamba bado nchi haina mfumo maalumu wa kutenganisha matakwa binafsi ya rais na ya kitaifa ndo hvyo hata kwenye sera kila rais akiingia madarakani anakuja na sera zakeKatika majukwa ya kimataifa kuna masuala mengi huwa hayapaswi kuzungumzwa au kauli tata kutolewa hadharani.
Majukwaa ya kimataifa ni pamoja na majadiliano na waandishi wa habari wa kimataifa, vikao vya wazi na viongozi na taasisi mbalimbali, makongamano pamoja na mikutano mikubwa na midogo, iso rasmi na ilo rasmi.
Hivi karibuni Raisi Joe Biden alitoa kauli kwamba raisi Putin ni mhalifu wa kimataifa na utawala wake wapaswa kuondolewa, kauli ambayo mara moja ilirekebishwa na kupigwa msasa na maofisa wa Ikulu ya Marekani pamoja na waziri wa masuala ya kigeni bwana Blinken.
Huo ni mfano mmojawapo wa kauli tata kurekebishwa moja kwa moja na kuonekana au kueleweka kwa namna ingine ingawa kauli hiyohiyo itolewapo kwa nchi kama Libya, Syria au kataifa kadogo, hugeuka kuwa ni kweli na hatua za kuishambulia nchi hiyo huchukuliwa.
Viongozi wengi duniani hutumia muda mwingi kujiandaa kutoa hotuba, kauli au hata dondoo kupitia vyanzo mbalimbali na mitandao ya kijamii kama twitter.
Hapo ndipo umuhimu wa wasaidizi wa karibu kwenye masuala ya diplomasia, uchumi, ujasusi na mengine unapotambulika.
Kitendo cha raisi Samia kubeba masuala yanohusu siri za nchi (kutokuelewana na hayati Magufuli kwenye suala la covid-19) na kuzieleza hadharani nchini Marekani, chahitaji kuangaliwa.
Kwa wataalam wa lugha la siha (body language) waweza kusema pasi na shaka kwamba raisi Samia anatumia jina la hayati Magufuli kujimaarisha kisiasa, na kidiplomasia.
Lakini kufanya hivyo kuendane na umakini wa kutumia akili na welevu bila kujiathiri mwenyewe maana itaonekana wafanya vibaya na makusudi na umedhamiria.
Raisi Samia kwa kujadiliana na wasaidizi wake bado wana nafasi ya kuhakikisha siku zijazo wanafanya uhakiki wa yale ya kuyazungumza majukwaani na yale ya kuzungumzwa kwenye faragha yaani "off air" or "in private or between four walls or on/off record".
Kwa mfano, katika mahojiano na mwandishi wa New York Times, Raisi Samia angetumia lugha ya kidiplomasia zaidi kwa kuonyesha kutotaka kuongelea suala la mgogoro au kutokuelewana na mtangulizi wake.
Mwandishi wa New York Times ni mwerevu na angeelewa lakini kutokana na uzito wa ajenda yake ya kuonyesha utofauti wa raisi Samia na hayati Magufuli ndo maana alipiga suali hilo, ingawa bado kulikuwa na nafasi ya kulikwepa.
Wakati wa utawala wake aliekuwa raisi wa awamu ya nne Jakaya Kikwete aliwahi kuhojiwa na mwandishi wa CNN Christiane Amanpour juu ya suala la kuruhusu au kuhalalisha ushoga nchini Tanzania.
Mzee Jakaya Kikwete akiwa ni mwanadiplomasia mbobezi hakutaka kujibu swali hilo moja kwa moja ila akajibu kwamba " our country at the moment is not ready, when is ready we will think about it" na hilo suali likaishia hewani.
Raisi Samia bado ana nafasi ya kujiweka sawa anapokuwa katika majukwaa ya kimataifa ambayo yana watu wenye uelevu na akili nyingi na jambo dogo huweza kulikuuza na kulifanya jambo kubwa.
Isitoshe Raisi Samia ana mengi ya kujifunza kidiplomasia kwa kuwatumia wanadiplomasia wazoefu ambao naamini wapo.