Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Halafu mzaha mzaha tu hii ishu ya kodi inaweza kuwasha moto kama issue ya Zuma kule SA. Watu wamechoka na mambo mengi....hili linaweza kuwa trigger ya kutosha!
 
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Ukisikia mtu anatumia kauli kama: "sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu"au "wanasiasa hawaaminiki; usimwanini mwanasiasa"; "wanasiasa wote dugu moja", n.k. , jua wazi kabisa hiyo ni code ya mwanapropaganda wa CCM na Serikali. Ikishindikana kushambulia wapinzani hasa CHADEMA kwa kuonyesha ubora wa CCM na Serikali yake, dawa ni kuonyesha WOTE WAKO SAWA.

Lengo ni kutoa hoja kuwa afadhali CCM ni "zimwi tunalolijua" au "wapinzani hawana jipya zaidi ya uroho wa madaraka", au "wapinzani si wakweli;ni wanafiki - hata wao wakiingia madarakani watafanya vilevile kama CCM - or worse". Kwa hiyo wananchi wenye akili wasishabikie vyama bali washabikie Taifa!

VERY STRANGE! Nchi yetu/taifa letu linaendeshwa na uongozi wa kiraia uliojikita kwenye mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Leo hii CCM iko madarakani; ukiuliza kivipi utaambiwa kwa kuchaguliwa kwa kura nyingi za Watanzania. Yaani Watanzania wengi wanaoipenda nchi yao wameichagua CCM kuwaongoza. Sasa anapotokea mtu anakwambia kushabikia chama ni "ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania" tupate ujumbe gani kuhusu CCM kuwa madarakani - wamechaguliwa na wajinga na mazezeta?
 
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Mnapoambiwa tume huru ya uchaguzi inaingia kwenye mambo kama haya. Tume huru ya uchaguzi ingewezesha kupatikana kwa viongozi wenye uwezo wa kuwatetea wanyonge

Mikutano ya hadhara. Hapa ni muhimu kwakua kwenye hiyo mikutano wao wanakutana moja kwa moja wa wananchi huku chini. Ndiko kwa kusemea hizi shida

Katiba mpya. Hapa pana umuhimu ambao huenda ndio ulioshikilia hayo unayoyasema. Hapa ndipo panapohitaji nguvu maana katiba mpya itamuwezesha mwananchi kumuwajibisha kiongozi asiyefaa bila kusubiri wala nini


Haya ni matokeo ya kushupaza shingo tunapoambiwa kuhusu tume huru, mikutano ya hadhara ambayo ipo kisheria na katiba mpya
 
Lkn mleta mada ana hoja. Kwamba wapinzani wanatuahawishi tupiganie tume huru kwasabb imebana mkate wao moja kwa moja. Kwann hawapambanii hili lililobana mkate wa wanyonge??

Wangeweza kuwashawishi wanyonge waingie barabarani ktk hili halafu wakachomekea na katiba mpya humo ndani wangeua tembo kwa ubua.
Hakuna hoja hapo. Mnapoambiwa tupiganie uhuru wa mikutano ambayo ndiyo yenye nguvu kuweza kuwashtaki watawala kwenye mambo kama haya nyie mnawasema vibaya na kuwageuzia vibao.

SSH koleza mwendo mpaka akili zitukae sawa
 
Nilitaka wafanye kama wanavyofanya kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Mbona wanatusemea japokuwa tuna midomo?? Kwann na hili wasitusemee na kutushawishi tuandamane??
Haya unayoyaona ni matokeo ya katiba mbovu na kuminywa kwa mikutano ya hadhara.

Alafu nyie si ndio wale mnaosema wapinzani wanasubiri matukio? Wakiyaacha mnaanza kulialia
 
Nilitaka wafanye kama wanavyofanya kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Mbona wanatusemea japokuwa tuna midomo?? Kwann na hili wasitusemee na kutushawishi tuandamane??
Kwa nini usiwalaumu wabunge wenu vilaza waliojazwa mjengoni kwa.kazi maalum ya kumuandalia mwendazake utawala wa kifalme? Na wakiongea wapinzani kuhusu hoja hizi wewe utakuja tena kuwalaumu kuwa wanadandia hoja ili kujipatia umaarufu. Wakulaumiwa ni CCM na Serikali yake.
 
Kwahiyo hoja yako ni ipi kwamba wametususia na tunastahili kususiwa ndio maana wako busy na kudai katiba mpya kwa masilahi yao ya kisiasa? au kwamba kwa sababu hawapo tena bungeni hivyo hawawezi kuwatetea wananchi wakiwa nje ya bunge?
Hoja ni kwamba wakikaa kimya then msilalamike maana walipobaniwa kuingia bungeni sikuona mtu yeyote akipiga kelele. So kisiasa wao lazima watulie mpka muone hasara za kutokuwa na KUB, akili zikiwarudi ndio mtawarudisha bungeni kwa kishindo.
 
Hoja ni kwamba wakikaa kimya then msilalamike maana walipobaniwa kuingia bungeni sikuona mtu yeyote akipiga kelele. So kisiasa wao lazima watulie mpka muone hasara za kutokuwa na KUB, akili zikiwarudi ndio mtawarudisha bungeni kwa kishindo.
Ndio maana nauliza kuwa wao hawawezi kuwasemea/kutetea wananchi wakiwa nje ya bunge?
 
Brother mbona wajichanganya? Post nyingine una justify hizi tozo kwa kufananisha na kodi za US. Wakati huo huo wataka Mbowe awe na msimamo kinzani. Msimamo wako wa TOZO ni upi? Mijitu kama nyie ndio mwatufanya CCM tuonekane malofa kila kona.
wewe ni great thinker kweli?
 
Sexless una matatizo

Nina tatizo kubwa na your way of thinking about this issue

Yaani wewe unaamini uchaguzi ni mali ya CCM,na mpinzani akishinda ni mkate wao hivyo wazuiwe?

Unamzuia opposition asipate equal opportunity ya kushiriki uchaguzi sababu ni "mkate" hivyo anyimwe hivyo apewe nani?Apewe CCM ndio haki yake?

50% ya wananchi wa Tanzania wanapenda opposition,unawanyima haki na equal opportunity hawa watu kuchagua viongozi wao wanaowapenda bila kunyang'anywa kura zao?

Kwanini unakataa Tume Huru ya Uchaguzi?

Una hoja gani hasa?Ndio hii ya "mkate"?Ambayo ni the same kwa CCM?Hivyo CCM waachiwe?

Thinking suspect kabisa hii
Mm natambua sana umuhimu wa katiba . Na ninafahamu katiba ndiyo njia pekee ya kuleta usawa ktk nyanja zote ikiwa ni pamoja na ile ya kidemokrasia.

Lkn CCM ni wanufaika wa katiba hii mbovu na ndiyo maana hawataki kuibadili. Ni wagumu, wanadharau mpk maoni ya wananchi. Na wananchi hawajui uhusianono wa katiba na maisha yao. Tunafanyaje?

Ndiyo maana nikatoa hoja kwamba wanasiasa wa upinzani walitakiwa kutumia mwanya huu wa tozo umiza za ccm kuchagiza mabadiliko ya katiba.
Mfano:- Sudan imepata mabadiliko kufuatia kupanda kwa bei ya mkate. Wanasiasa wa upinzani walichagiza na kufanikiwa kuwaaminisha wananchi kuwa haya yanatooea kwasabb ya serikali mbovu.

In short, tozo itumike kama ndiyo nyenzo ya kuwashika akili wananchi.
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Yuko busy mirembe kucheki file la kichaa,aliekua mwenyekiti wa nzi wa kijani
tapatalk_1626121136163.jpeg
 
Ofcourse, kipindi cha Slaa ndo kulikuwa na upinzani wa kweli na nikiwa bado chalii mdogo nliipenda sana chadema!

Kipindi walivomkaribisha yule walokuwa wakimwita fisadi namba moja kugombea uraisi nkaona kumbe hawa mafala tu.!

Nikamgeukiaga Magu, na toka hapo Magu hajawahi niangusha hasa kutetea yaleyale yaliyokuwa yanaongelewa na wapinzani majukwaani!

upinzani ukageuka na kuwa wakosoaji tena wa zilezile hoja zao.
Kwa kweli walipoanza kupinga waliyokuwa wakiyaamini ndipo walupojishushia hadhi.
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Ukimwona Ndugu yako anapata shida alafu anaetakiwa kumsaidia kabanywa na Serikali utafanyaje?!!...wafanyabiashara na wawekezaji ndio engine ya kupata Kodi ili nyie wanyonge mpate kwenda chooni
 
Back
Top Bottom