Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe.
Leo hii ndio mmejua umuhimu wa wakina Mbowe?

Na bado kudadek
mbowe hana umuhimu ulikuwa unaonyeshwa tu kuwa huyu huwa hasaidii jamii bali kazi yake kutetea matajiri waiba hela za umma
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Mkuu, kwani Mbowe yuko Bungeni? Sheria imepitishwa bungeni unamwambiaje raia wa kawaida akutetete? Sauti za watanzania wangapi wamelalama kuhusu hizi tozo, kwani serikali haizisikii mpaka Mbowe Aongee?
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Utafiti unaonyesha watu wanaotumia picha za mwendazake zake hawako vizuri kichwani?
Mbowe unataka afanyaje? Na anaposema tupate katiba mpya unadhani anamaanisha nini?
Fungua akili usifungue mdomo!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Magu hajawahi kupigania wanyonge, bali alikuwa anahadaa wanyonge. Usitake kumpa sifa asizistahili.
kwani unateseka ukiwa gereza gani mkuu? hahahaaaah! hata ukijifariji hii kodi haina chama mzee, ngoja tunyongwe wote ndo ujue nani anahadaa kati ya yule kipenzi cha mama ntilie na wamachinga na huyu anayeupiga mwingi....

uzuri ni kwamba mimi, wewe, ndugu zangu, ndugu zako, rafiki na jamb zetu wote tunalia kilio kimoja!

Magu for everibadeee! hahahaaaah!
 
Hao wapinzani shida yao ni kupata zamu ya kutawala, wanataka waingie bungeni wapate posho, hawana shida na hayo mambo ya wananchi. Wapinzani wanataka tuandamanie tume huru ili nao waingie serikalini basi. Wapinzani na sisiem ni watoto wa mama mmoja, wote shida yao ni kutawala, wote njaa tu.
Tusiwategemee watu wa vyama si unawaona comment zao humu, wana majibu ya hovyo na hasira za kukosa utawala. Matarajio yao ni wananchi kuunga mkono nia yao. Wapinzania hawajui kwamba wangejituma kwenye haya masuala ya wananchi basi wangeaminiwa hata kwenye hayo wanayoyataka.
Hawa watu hawako tayari kubeba kilio cha watanzania, bali, macho yanawatoka kuitazama ikulu. Kila simu wanawaza wafanyanyeje waingie ikulu na wana nchi tuwaunge mkono.
SASA INAWAPASA WAJUE JAMBO MOJA KWAMBA MITAZAAMO YAO NA YA WANANCHI NI TOFAUTI NA WAMESHINDWA KUCHEZA NA FULSA.
 
Sasa wapinzani wako bize na gari la Diamond, hivi unategemea nini kwa vichwa hivywo? Sasa hivi wapinzani hawana ajenda, atakachosema Kigogo ndo hicho hicho.
 
Kwa hili nawatetea wapinzani,sababu hawapo wala hawahusiki kwenye huu wizi
Kwani wanapopigania tume huru maana yake wanahusika na tume isiyokuwa huru ?

Wanapopigania katiba mpya ina maana wanahusika na hii katiba ya zamani ?
 
Wapinzani wako kwa maslahi yao. We endelea kuwategemea.....
 
Kwani wanapopigania tume huru maana yake wanahusika na tume isiyokuwa huru ?

Wanapopigania katiba mpya ina maana wanahusika na hii katiba ya zamani ?

Kwani wanapopigania tume huru maana yake wanahusika na tume isiyokuwa huru ?

Wanapopigania katiba mpya ina maana wanahusika na hii katiba ya zamani ?
Ingekua busara kuanza kulalamikia wabunge wako,especially
anayekuwakilisha kwenye jimbo lako,hao ndo wangeanza kutoa matamko kabla ya Chadema.
 
Ingekua busara kuanza kulalamikia wabunge wako,especially
anayekuwakilisha kwenye jimbo lako,hao ndo wangeanza kutoa matamko kabla ya Chadema.
Niimeshalalamika tayari.

Na kuwalalamikia wabunge wangu sio kizuizi cha mimi kuhoji juu ya mambo mengine kama hayo niliyohoji hapo juu.

Maswali yangu yako pale pale kwa ambaye nimequote na kumuuliza naomba anifahamishe,hapa hatugombani tunaelimishana.
 
Niimeshalalamika tayari.

Na kuwalalamikia wabunge wangu sio kizuizi cha mimi kuhoji juu ya mambo mengine kama hayo niliyohoji hapo juu.

Maswali yangu yako pale pale kwa ambaye nimequote na kumuuliza naomba anifahamishe,hapa hatugombani tunaelimishana.
🤣🤣 Hivi bro Chadema ni entity ya kisiasa ,hivi kweli ww unaona hawawi affected na tume huru au katiba ?kama jibu lako ni ndio ,ndio maana wanaipigania
 
Mkuu unataka wafanye ni wakati wao ndio wanaoleta haya mambo yote ya hovyo kwa wanyonge? Ndio maana shujaa aliwamaliza na kutupa bunge lote la chama chetu, na matokeo yake yako wazi. Bunge linafanya kazi nzuri sana kupambana na hawa wanaowabambikizia wanyonge kodi. Heko kwa serikali na bunge letu. Hawa wapinzani waliongeza tozo za simu na miamala ya pesa ili watuue kabisa. Wakafie mbali huko.
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
 
🤣🤣 Hivi bro Chadema ni entity ya kisiasa ,hivi kweli ww unaona hawawi affected na tume huru au katiba ?kama jibu lako ni ndio ,ndio maana wanaipigania
Naam wanakuwa affected.

Kwa hiyo kumbe pale juu tulikuwa pamoja kimtizamo kwamba hawaguswi ama hawajaguswa maslahi yao ndio maana wapo kimya au vipi mkuu ?
 
Umuhimu wake ni kuwatetea wafanyabiashara wakubwa ndio maana wanyonge wamebanwa ili wafanyabiashara wakubwa wapumue
Halafu acheni huu u jingalao wa kuita watanzania wanyonge, shenzy kbs!!
 
Naam wanakuwa affected.

Kwa hiyo kumbe pale juu tulikuwa pamoja kimtizamo kwamba hawaguswi ama hawajaguswa maslahi yao ndio maana wapo kimya au vipi mkuu ?
nadhani ni hivo!ukishajua kAzi ya mpinzani ni kupinga kile mtawala anachofanya ili aingie madarakani,na kAzi ya mtawala ni kutumia madaraka yake kubaki pale alipo,, utaachana na wanasiasa ,wew kuwa na misimamo yako binafsi ambayo inaleta manufaa kwa Tanzania,,endapo mtalingana kimawazo na mwanasiasa wa Upande wowote ,yote heri🤣
 
Back
Top Bottom