Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Tangu lini mliona umuhim wa Mbowe na CDM we jinga? Kwan nyie c mko weng bungeni? Kwann msipinge hiyo miswada? Acha unafik nyie ndio wagonga meza kusapoti kila sheria inayopitishwa. Kikubwa kweny hili woote tunaumia
Umuhimu wake ni kuwatetea wafanyabiashara wakubwa ndio maana wanyonge wamebanwa ili wafanyabiashara wakubwa wapumue
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Anajiandaa kuingiza watu mtaani
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Kwa ninavyomuelewa ndugu M/kiti hawezi kujiingiza kichwa kichwa kwenye huo mtego. Smartness inahitajika kwenye mtago smart kama huu wa kodi za miamala.
 
Kwa hili nawatetea wapinzani,sababu hawapo wala hawahusiki kwenye huu wizi
Lkn mleta mada ana hoja. Kwamba wapinzani wanatuahawishi tupiganie tume huru kwasabb imebana mkate wao moja kwa moja. Kwann hawapambanii hili lililobana mkate wa wanyonge??

Wangeweza kuwashawishi wanyonge waingie barabarani ktk hili halafu wakachomekea na katiba mpya humo ndani wangeua tembo kwa ubua.
 
Lkn mleta mada ana hoja. Kwamba wapinzani wanatuahawishi tupiganie tume huru kwasabb imebana mkate wao moja kwa moja. Kwann hawapambanii hili lililobana mkate wa wanyonge??

Wangeweza kuwashawishi wanyonge waingie barabarani ktk hili halafu wakachomekea na katiba mpya humo ndani wangeua tembo kwa ubua.
🤣🤣 Sielewi huu ni uandishi wa kejeli au uko serious
 
Ulitaka wachukue hatua gani? Maana naona unalalamika tu! Kwani kila kitu mpaka tusemewe na hao wapinzani? Sisi hatuna midomo ya kupaza sauti zetu?
Nilitaka wafanye kama wanavyofanya kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Mbona wanatusemea japokuwa tuna midomo?? Kwann na hili wasitusemee na kutushawishi tuandamane??
 
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Wapuuzi nyie mmeguswa mnaanza kulialia. Maslahi ya taifa tumepigania sana mkaanza kutukimbiza kqa mabunduki na mitutu.

Hili mtalinywa.🤣🤣🤣🤣
 
Mbowe yuko bize kupigania chanjo ya Corona
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Wewe hili la TOZO unalionaje?


Ova
 
Apa wapinzani hata hawaonekani,akina msigwa,lema,lissu,zitto,mbowe n.k washamuingiza chaka mama eti mwendazake alifukuza wawekezaji nae bila hata kufanya critical reasoning saivi wanachekelea tu meno juu.
 
Wao wanamkubali mama hawana cha kumkosoa,kila kitu anachofanya kwao pia kiko sawa.Ndio maana wako kimya hawana cha kukosoa na pengine ni ushauri ni ushauri waliompa mama katika kujenga uchumi uliohalibiwa na hasimu wao
 
Back
Top Bottom