Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

upinzani ukageuka na kuwa wakosoaji tena wa zilezile hoja zao
Hoja ipi toa mfano wa moja? Hvi mfano serikali inasema tununue ndege kwa CASH wakati inakataza CAG asikague wala tenda zisiwekwe wazi eti wakihoji oooh wanapinga ndege?? Kuna tofauti ya utekelezaji na malengo.

Ndio maana CAG hufanya performance audit maana unaweza tenga hela ya miradi ila isitekelezwe kama inavyoelekezwa. Sasa unataka kusema CAG anapinga maendeleo kisa anahoji utekelezaji?

Kuna shida kubwa sana ya elimu ya Uraia kuelewa kazi za upinzani kama watch dog wa serikali
 
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Matako ww wakati wapinzani wakiwa bungen si ndo haohao walikuwa wanawatetea matokeo yake wakaanza kuwindwa kama kuku mara ngp wameitisha maaandamano na mnawabeza kwa kejeli na ushabiki leo bunge, kata , mitaa chn ya ccm vyote maana si mlikuwa mnasema wapnzan ni wapngaji haya leo hawapo huko wapo wanapambania katiba mpya itakayowabana watawala mjinga mmoja ww unataka waitishe maandamano ya kupnga tozo wakati dawa ni katiba mpya

Nireteeeni gwajimaaaa
Kwann usiwapgie kelele waloptsha huko bungeni
 
bunge wa Mtama, Nape Nnauye ameisifia bajeti ya mwaka huu ambayo ni yakwanza kwa Rais Samia Suluhu akisema ni bajeti ya watu kwa kuwa imegusa maisha ya watu moja kwa moja na kwamba vyuma vilivyokaza sasa vitaachia.

Nape amesema bajeti ya Samia imekamika kila idara na ni bajeti bora sana...... kwa hiyo watanzania wajiandae kuchota pesa maana zinakuja na vyuma havitokaza tena
 
Wapinzani wa Tanzania ni kikundi cha sanaa za maigizo kama KAole group ndio maana wanapigania majukwaa ya kuonekana kama Bunge kurushwa live na mikutano ya hadhara baaasi! Hadi leo hawajuhi kura zao za 2020 ziliibiwaje!!!

Upinzani.jpg
 
Mbowe huwezi kumuona kwenye hili! Halimpeleki Ikulu 😅😅😅
 
Mimi binafsi sipendi kuwaamini hawa wanasiasa wetu nasemaga kabisa niwachumia tumbo hasa hawa wanaojiita watetezi wa Wanyonge ( Wapinzani) hawana tofauti na Wanaccm labda tofauti yao kidogo ni rangi za uniform huwezi kwenye Hili ukakuta Wapinzani hawa wanatangaza kuingia barabarani kulazimisha hii tozo za miamala zipunguzwe zaidi utawasikia wanatishia kuingia barabarani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.


Pia huwezi kusikia wakiomba posho zao za kibunge zipunguzwe au utaratibu wa kutumia magari ya gharama ya serikali uondolewe ili isaidie serikali kupunguza matumizi makubwa na kutokana na Hili inapelekea Wanyonge kubanwa na kodi nyingi kama sehemu ya kufidia walipopunguza.



NB: Nawashangaa Sana watu kupigania hiv vyama au kutukana eti kwa mapenzi vya hivi vyama unaacha kupigania familia yako unawapigania watu ambao matumbo yao yameshiba sambusa, chips mayai si ujinga na ni uzezeta na ndio maana siwezi kuwa mashabiki wa chama chochote zaidi ya kuwa mshabiki wa Taifa langu la Tanzania
Pambana na hali yako mliichagua nzi wa kijani wenyewe kodi hadi uvunguni wapinzani tumeamua kuwasusa wananchi mpaka mtie adabu
 
Mambo kama haya watanzania inabidi kuacha kuwategemea wanasiasa kuwatetea,mwanasiasa siku zote ni kigeugeu

Ova
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Hujui unachouliza. Mona wewe mwenyewe hutetei hayo
 
Hapa wapinzani uchwara huwezi wakuta, wao wanataka madaraka tu na sio kuwatetea wananchi

Kipindi Magu anawapigania wananchi wanyonge walimpopoa kwa mawe, tena sio kidogo! Sana tu

Walivoanza kudai katiba mpya wakaanza kutulazimisha kuwa ni takwa letu! Wakati hakuna hata mwananchi mmoja wa hali ya chini aliyekuwa anazungumzia mambo ya katiba

Leo ndo utegemee kuwa waungane na wananchi kupaza sauti kuhusu mabando? Watu walewale ambao walimbeza magu kipindi anapambana na uonevu wanaofanyiwa watu masikini?

Sahv wapo kimya, subiri hili lipite uone watavoanza kulazimisha kuwa wananchi wote tunalilia katiba wakati hiyo katiba ni kwa manufaa yao wenyewe
Magu hajawahi kupigania wanyonge, bali alikuwa anahadaa wanyonge. Usitake kumpa sifa asizistahili.
 
Ukiona nyumbu wanamsifia sana mtu, wapinge kwa nguvu zote

Ujue kuna madhara makubwa yanakuja

Hawanaga vichwa vya kuwaza tofauti na wakionacho leo

Sasa walikua wanatetewa matajiri, kwamba wananyanyaswa

Kibao kimegeuka, tunanyooshwa tusio na chechote mfukoni

Vipi bado anaupiga mwingi?
 
Unye pembeni kusudi utegemee mbowe aje azoe....ebu uwe na akili basi acha utahira mda wote
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Wewe kweli jingalao wakati unachagua wabunge wa kijani hukujua akina Mbowe wapo?
 
Ukitaka kujua CDM ni kichaka cha wachumia tumbo na genge la utetezi wa mafisadi na mabwanyenye basi huu ndio wakati muafaka.

Nakumbuka wakati Hayati JPM anawapeleka mpera mpera matajiri walionyakua fedha za wanyonge Mbowe aliibuka kila kukicha kuwatetea "wafanyabiashara" wakubwa ambao wengi walikuwa wanakwepa kodi.

Mbowe akatuonesha kuwa kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi ni kukimbiza uwekezaji.

Sasa kibano kimehamia kwa wanyonge Mbowe kauchuna kimyaa na anakula bata Dubai kama kawaida baada ya kuwafitinisha kina Sabaya na jamii.
Kumbe unajua yupo Dubai alafu unauliza yu wapi !!!!
 
My friend. Kodi mpya zishakua Sheria iliyopitishwa na wabunge wasiojielewa yaani YES men.
Unataka Mbowe afanye Nini nche ya bunge? Au unawashwa sehemu fulani ya mwili unataka akukune?
Wewe Ni sawa na yule mbunge ndezi aliyesema kiundwe chombo Cha kuidhibiti serikali.
Pathetic
 
Mbowe ana akili sana- Jamaa kafungiwa akaunti zote za benki na biashara zake nyingi kuharibiwa lakini bado aliweza kwenda kuangalia fursa za uwekezaji Dubai na SA
 
Back
Top Bottom