safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Hapo sawa tumesimama upande mmoja.,sikukuelewa mwanzonadhani ni hivo!ukishajua kAzi ya mpinzani ni kupinga kile mtawala anachofanya ili aingie madarakani,na kAzi ya mtawala ni kutumia madaraka yake kubaki pale alipo,, utaachana na wanasiasa ,wew kuwa na misimamo yako binafsi ambayo inaleta manufaa kwa Tanzania,,endapo mtalingana kimawazo na mwanasiasa wa Upande wowote ,yote heri🤣