Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Shikamoo bro 🥰Tumetulizana na huba letu wala hatuangalii mtaa wa saba!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo bro 🥰Tumetulizana na huba letu wala hatuangalii mtaa wa saba!!
Bro tena😳😳Shikamoo bro 🥰
🤣🤣🤣Wanaenda kuyajengaNimewaona wameelekea njia ya pm 😜🤣
Ngoja nikimbie fastaaaa🏃🏃🏃Kuna mndewa mpya kule ametupia na picha muwahi kabla mashangazi hawajamdaka
Punguza hasira basiiiiAcha kujifanya hujaelewa🤣🤣
Donate bwana,ni jambo la upendoUnaumwa nyongo wewe
Kwa hivi vibamia na dk 2 charii ndiyo kubomoe kitu ambacho Mungu aliumba na mtoto apite sio kweli ndiyo Mana unaambiwa hakuna makombo kulee ukimuacha wewe akipenda kwa kwingine mpyaaaHiyo haiimarishi Bali inabomoa, kwasababu atamzoea haraka na kuona hakuna jipya, kingine mwanamke anakuwa sio mtamuu, kwa sababu hakupumziki kujitengeneza, ni hasara kwa mwanamke akiachwa atafikiria alivyotumika kwa kiwango cha lami.
Atakuja hapa siku zijazo kusema huyu mwanamke simuelewi
Zibaki ndani zicheze bonanzaInawezekana pia
Hata hivyo anataka shahawa zake zibaki ndani ya kei zifanye nini?
Hatari sana🤣🤣aibu ya kuelea, noma sana dadamtu!!
Huwezi kugonga Mwanamke hata kwao hujajitambulisha kama dozi ya kutwa mara tatu....Hata yeye tu kazidisha Huwezi kuwa na miezi miwili mmekutana mara Saba Huo ni uchu mkuu
Ndio maana unaumia, Huwezi Amini nilikuwa nakusoma Uzi wako hapa....usibanebane sana na weweWana balaa mimi tu na miaka 2 tumefanya mara 4 [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo hakuna mahusiano mkuu, hakuna me wa kuvumilia huu u..j..inga hata kidogo.Wana balaa mimi tu na miaka 2 tumefanya mara 4 [emoji23][emoji23][emoji23]