Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Eeeh,hamuelewekiSijawahi kupenda za hivyo...
Huwezi kunielewa, kama umekula machalari sana, ya bukoba au moshi utanielewa🤣🤣🤣🤣🤣 Eeeh,hamueleweki
Machalari ya Moshi yalivyo makavu yana jambo Kweli?🤦Huwezi kunielewa, kama umekula machalari sana, ya bukoba au moshi utanielewa🤣
Sina uhakika sana, ila umeelewa hoja yangu🤣🤣Machalari ya Moshi yalivyo makavu yana jambo Kweli?🤦
Nimekusoma vyema sana afisa wa DawasaSina uhakika sana, ila umeelewa hoja yangu🤣🤣
Sio dawasa kivile mkuu, ila walau....🤣Nimekusoma vyema sana afisa wa Dawasa
Weee pole sana mwaegoNimekutwa na PID ndugu ngoja nipone kwanza
🤣🤣🤣🤣Nimekuelewa mkuu..Sio dawasa kivile mkuu, ila walau....🤣
take home yenyewe 350k, hapana kwa kwelidronedrake usafiri huu hapa, bei nzuri
Mzee huyo alikuwa anakunyonya nguvu.alikuwa ananipa kila siku mara 2 , mchana na usiku
kaniharibu sana yule kiumbe
kwanini mzee,Mzee huyo alikuwa anakunyonya nguvu.
Utapona na utaenjoyNimekutwa na PID ndugu ngoja nipone kwanza
Duuh Una high sexual drive mzee 😅 😅kwanini mzee,
kaniharib kwa maana nikidate tena ntataka nipige viwili daily, wanasema nawazeesha ndiyo maana nikaingia chamani, huku ni unlimited kimtindo
noma sana, ni kudindisha tu mwanzo mwishoDuuh Una high sexual drive mzee 😅 😅
Ooh pole sana...na yeye katibiwa?
Weee pole sana mwaego