Kwenye mapenzi hili jambo ni kawaida au ndiyo tatizo?

Duuuh!Kwa hiyo unashauri nikiamua kutoa nitoe bila kipimo?
 
Wakina nani wanasemaga??
Kuna siku nilikuwa napata kahawa kwenye kijiwe flani hivi pale Karibu na Nyerere square nikasikia Mzee mmoja mwenye asili ya Asia,akilalamika Kwa Nini Pweza hawapo Huo mkoa....ndio akatoa maelezo ya kina....kwani we Hujawahi sikia?
 
Njia nyepes ya kugundua kama una mbegu bora fanya unavyojua then mwaga sperm kwenye chombo chenye maji saf zikielea jua hpo hazna nguv ila zikikaa chin ya maj hpo zpo vzur
 
Kuna siku nilikuwa napata kahawa kwenye kijiwe flani hivi pale Karibu na Nyerere square nikasikia Mzee mmoja mwenye asili ya Asia,akilalamika Kwa Nini Pweza hawapo Huo mkoa....ndio akatoa maelezo ya kina....kwani we Hujawahi sikia?
Hao ni wazee wale walio kuja na mama kutoka kizimkazi...๐Ÿ˜‚
Anyways, hiyo pweza anapatikana sana nyakati za jioni pape 4 Ways Bar kwa nje, njia panda ya kuelekea nala na Nkuhungu kama unatokea mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ