Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TunashukuruMuite na mwenzako aone ujumbe mntaka kutuchezea akili nyie haachani mtu kwa kuwaambia ACHANENI.
Hakuna binti anaeweza nifanyia hichi kitu..
KENZY Nyie ndio munaambiwa Kila siku ukiachwa achika lakini king'ang'anizii tu😂Naona kuna tabia imezuka Sana humu mtu akiumizwa huko akaleta uzi humu watu wanakimbilia kuandika "ACHANA NAYE!!".
Mnafikiri kuacha ni kitu chepesi tu..?
Pale unaposhauriwa umuache wakati unampendaNaona kuna tabia imezuka Sana humu mtu akiumizwa huko akaleta uzi humu watu wanakimbilia kuandika "ACHANA NAYE!!".
Mnafikiri kuacha ni kitu chepesi tu..?
Ameleta uzi ili apate ushauri sasa tumsaidiajeNaona kuna tabia imezuka Sana humu mtu akiumizwa huko akaleta uzi humu watu wanakimbilia kuandika "ACHANA NAYE!!".
Mnafikiri kuacha ni kitu chepesi tu..?
[emoji28] kwenye ukweli tunasema..Kwa Mara ya kwanza unanniunga mkono..[emoji28]