Kwenye mapenzi hivi vitu viwili havifundishiki

Kwenye mapenzi hivi vitu viwili havifundishiki

Alifanyaje mkuu..?

We gaidi Sana wewe huna hata moyo bali unasukumio la damu tu..[emoji1787]

Mbona kwenye ule uzi wako hukujibu zile tuhuma za ile couple ya marafiki zako.. Yani ulijua lkn jamaa hukumubia!!
Akuu kwanini nimuambie!! Apambane hadi agundue mwenyewe.
 
Naona kuna tabia imezuka Sana humu mtu akiumizwa huko akaleta uzi humu watu wanakimbilia kuandika "ACHANA NAYE!!".
Mnafikiri kuacha ni kitu chepesi tu?

Msichokijua KUPENDA na KUACHA hivi ni viti visivyofundishika bali ni maamuzi na utashi wa mtu, itakapofikia mtu kupenda huridhia kwa nafsi na upeo wake wa akili vilevile itakapofikia mtu kuacha ataacha kwa uwezo wake mwenyewe.

Muacheni mtu akinai mwenyewe maana hata kupenda alipenda mwenyewe!. Kumfundisha mtu kuacha au kupenda ni sawa na kumpa majibu ambayo kwake hayaoni

Upendo ni njia isererekayo ambayo ni wawili tu ndio huamua kuserereka nayo,ukiingia kati mwisho wasiku watakuchota wakutupe kando wenyewe waserereke zaidi!.

Kama unaona Kuna mtu anateswa na mapenzi mpe ushauri yule ambae ni tatizo sio yule ambae hana tatizo!,Kama wote ni tatizo wape wote ushauri ila epuka kuwaambia "ACHANENI" hichi kitu hakifundishiki bali mtu huridhia kumuacha mwenzie na kupendana kwao hukuwafundisha wewe.

Yangu ni hayo.

Sahihi kabisa mkuu [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Na kuachana hawakuachana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huoni ningesema jumba bovu lingeniangukia mimi!
Ndo haya nayosema sasa..🤣
Watu wakiamua kuachana huachana wenyewe.
 
Alifanyaje mkuu..?

We gaidi Sana wewe huna hata moyo bali unasukumio la damu tu..🤣

Mbona kwenye ule uzi wako hukujibu zile tuhuma za ile couple ya marafiki zako.. Yani ulijua lkn jamaa hukumubia!!
KENZY jamaa yetu demu wake alikua anamtesa sana mpk jamaa akakonda. kila mda ni kugombana na demu ndio mgovi. kila siku akawa anatuomba ushauri. mwanzo tukamwambia wew kaza. lakin mwsho wa siku tukaona jamaa yetu anateseka sana. anapoteza mda wake, hela zake, anazid kukonda uku demu ananawir, nk. utelezi wenyewe anabaniwa😆. bas bhana siku hiyo tukakaa nae ka masaa matatu tukiongea (usiku hiyo) tukamshauri bhana huyo demu amuache maana tonaona kila siku migogoro. hakuna chochote anachopata. bas jamaa akasema wanangu mim nimewaelewa na huyu demu mim kiukwel namwacha kesho kesho.

Ikafika kesho, kweli jamaa akamwambia demu mimi na wew naomba tuachane. akampa na sababu. (na yule demu alikua na dharau mpk sio poa) basi demu akasema amna shida ka nd umeamua iwe hivyo.

Cha ajabu jamaa mwenyewe nd alimwacha demu, lakini yeye mwenyewe alianza kulia karibu siku nzima. ata msosi hakula.

zimepita siku mbili tunaona kijana wapo pamoja. kumbe jamaa yetu alikuja kuomba tena msamaha. (lilikua zuzu sana) 😕 bas bhana wakarudiana. lakin wakawa wanaishi kama mwanzo tu. jamaa yetu badala ya kufrah ni huzun tu anapata ndani ya hlo penzi.

Anzia pale niliapa sitokuja kushauri chochote kuhusiana na wawili wapendanao. acha akufilie uko au atoke mwenyewe kama akibahatika lakini😅
 
KENZY jamaa yetu demu wake alikua anamtesa sana mpk jamaa akakonda. kila mda ni kugombana na demu ndio mgovi. kila siku akawa anatuomba ushauri. mwanzo tukamwambia wew kaza. lakin mwsho wa siku tukaona jamaa yetu anateseka sana. anapoteza mda wake, hela zake, anazid kukonda uku demu ananawir, nk. utelezi wenyewe anabaniwa😆. bas bhana siku hiyo tukakaa nae ka masaa matatu tukiongea (usiku hiyo) tukamshauri bhana huyo demu amuache maana tonaona kila siku migogoro. hakuna chochote anachopata. bas jamaa akasema wanangu mim nimewaelewa na huyu demu mim kiukwel namwacha kesho kesho.

Ikafika kesho, kweli jamaa akamwambia demu mimi na wew naomba tuachane. akampa na sababu. (na yule demu alikua na dharau mpk sio poa) basi demu akasema amna shida ka nd umeamua iwe hivyo.

Cha ajabu jamaa mwenyewe nd alimwacha demu, lakini yeye mwenyewe alianza kulia karibu siku nzima. ata msosi hakula.

zimepita siku mbili tunaona kijana wapo pamoja. kumbe jamaa yetu alikuja kuomba tena msamaha. (lilikua zuzu sana) 😕 bas bhana wakarudiana. lakin wakawa wanaishi kama mwanzo tu. jamaa yetu badala ya kufrah ni huzun tu anapata ndani ya hlo penzi.

Anzia pale niliapa sitokuja kushauri chochote kuhusiana na wawili wapendanao. acha akufilie uko au atoke mwenyewe kama akibahatika lakini😅
Haya ndo mambo penzi halishahauliki viumbe wapenzi wanalugha zao wakiongea wenyewe wanaelewana Sasa wewe kamwambie mwamba kaza halafu kule anaambiwa huku anaangaliwa jicho legevu huku kashikwa kifua anapewa na ulimi,Kisha wanakulana.. hii lugha achaneni nayo..😂
 
Haya ndo mambo penzi halishahauliki viumbe wapenzi wanalugha zao wakiongea wenyewe wanaelewana Sasa wewe kamwambie mwamba kaza halafu kule anaambiwa huku anaangaliwa jicho legevu huku kashikwa kifua anapewa na ulimi,Kisha wanakulana.. hii lugha achaneni nayo..😂
Yule jamaa yani ata nione anakufa ndani ya penzi sisemi chochote😂😂
 
Back
Top Bottom