Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah mkuu mi sikushauri uachane nae huyo ila mda ukifika wa kumuacha utamtemaNasubiri uzi wako ukitaka ushauri..😜
Hata Napoleone alianza hivi hivi mzee mwisho akaamua kujisemea tu mficha uchi hazai 😂Sio kwamba yamenipata ndugu mi nipo Sawa kabisa, nimeamua tu kuleta uzi usihofu ndugu.
😂😂😂😂😂Hata Napoleone alianza hivi hivi mzee mwisho akaamua kujisemea tu mficha uchi hazai 😂
Kuzagamuana!!! Means Kunyanduana?Watu wanaozagamuana hawashaurikagi jamani[emoji3][emoji3][emoji3]…
Alifanyaje mkuu..?hahah umenikumbusha jamaa yangu mmoja
We gaidi Sana wewe huna hata moyo bali unasukumio la damu tu..🤣Akizingua muacheeee
Mbona kwenye ule uzi wako hukujibu zile tuhuma za ile couple ya marafiki zako.. Yani ulijua lkn jamaa hukumubia!!Umegundua sasa kwanini huwa sitoi ushauri eeh[emoji1787]
KENZY