Ahahah mkuu mi sikushauri uachane nae huyo ila mda ukifika wa kumuacha utamtemaNasubiri uzi wako ukitaka ushauri..π
Hata Napoleone alianza hivi hivi mzee mwisho akaamua kujisemea tu mficha uchi hazai πSio kwamba yamenipata ndugu mi nipo Sawa kabisa, nimeamua tu kuleta uzi usihofu ndugu.
πππππHata Napoleone alianza hivi hivi mzee mwisho akaamua kujisemea tu mficha uchi hazai π
Kuzagamuana!!! Means Kunyanduana?Watu wanaozagamuana hawashaurikagi jamani[emoji3][emoji3][emoji3]β¦
Alifanyaje mkuu..?hahah umenikumbusha jamaa yangu mmoja
We gaidi Sana wewe huna hata moyo bali unasukumio la damu tu..π€£Akizingua muacheeee
Mbona kwenye ule uzi wako hukujibu zile tuhuma za ile couple ya marafiki zako.. Yani ulijua lkn jamaa hukumubia!!Umegundua sasa kwanini huwa sitoi ushauri eeh[emoji1787]
KENZY