MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Kuna hii hapa, Mission Impossible: Fallout
Huyu mchina anchapa mikono aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The body guard from Beijing.Shida ya Jet Li, ni yale mambo yake ya kupaa. Sawa ni maigizo, lakini kuwepo na ka uhalisia kidogo basi. Hii ya mtu kusimamisha nywele huwa inakata stimu brother!
Kuna kitu kinaitwa my father is a hero au bkackmaskThe body guard from Beijing.
Halafu kuna moja nimeisahau jina Jet anapigana na jamaa amevaa Kombat ya jeshi
Halafu kuna Tai Chi pale mwishoni
Pia kuna nobody scene ndani ya train
Halafu msimsahau John wick nadhani kwa Sasa atakuwa anaongoza pia na M.I
Halafu unakuta mtu.anakwambia extraction in best fighting scene.huwa nacheka nanyamazaThe body guard from Beijing.
Halafu kuna moja nimeisahau jina Jet anapigana na jamaa amevaa Kombat ya jeshi
Halafu kuna Tai Chi pale mwishoni
Pia kuna nobody scene ndani ya train
Halafu msimsahau John wick nadhani kwa Sasa atakuwa anaongoza pia na M.I
Tony jaa na Jacky Wu jing walivunjiwa heshima Sana humo dah🤔The night comes for us, The raid 1&2, Bwana mdogo Iko Uwais anatoa burudani isiyoeelezeka. Unapigwa mkono usio wa kawaida.
Ningekua na uwezo wa kupigana kama huyu dogo, siku moja ningevizia shere za uhuru pale Taifa, wakati makomando wenu wanapasua matofali, nawavamia then nawapa kichapo huku "MAZA" akishuhudia!
Kungfu Killer! Mwamba wa kuitwa Don Yen, huwa haniangushi kwenye fight scenes. Waliupiga mwingi mno!
SPL: Time for the consequences. Final fight wanaungana Tony Ja na Wu Jing kupambana na gentleman wa kuitwa Zhang Jin. Kwangu hii ndio the best fight scene niliopata kuiangalia. Tony Ja na Wu Jing walitandikwa mpaka wakahisi wanapigana na jini.
Kama MB zinaruhusu, ingia YouTube, search SPL:Time for the consequences final fight. Ukimaliza leta mrejesho hapa!
View attachment 2458226View attachment 2458227
Kaka kweli fight scene bora unazijua. Unajua Tony Ja huwa ashindwagi lakini kwenye hii movie kwa huyu mwamba alikubali😆😆The night comes for us, The raid 1&2, Bwana mdogo Iko Uwais anatoa burudani isiyoeelezeka. Unapigwa mkono usio wa kawaida.
Ningekua na uwezo wa kupigana kama huyu dogo, siku moja ningevizia shere za uhuru pale Taifa, wakati makomando wenu wanapasua matofali, nawavamia then nawapa kichapo huku "MAZA" akishuhudia!
Kungfu Killer! Mwamba wa kuitwa Don Yen, huwa haniangushi kwenye fight scenes. Waliupiga mwingi mno!
SPL: Time for the consequences. Final fight wanaungana Tony Ja na Wu Jing kupambana na gentleman wa kuitwa Zhang Jin. Kwangu hii ndio the best fight scene niliopata kuiangalia. Tony Ja na Wu Jing walitandikwa mpaka wakahisi wanapigana na jini.
Kama MB zinaruhusu, ingia YouTube, search SPL:Time for the consequences final fight. Ukimaliza leta mrejesho hapa!
View attachment 2458226View attachment 2458227
Yule Gentleman aliwatandika vizuri kabisa, tena huku akiwa msafi bila kuchafuka!Tony jaa na Jacky Wu jing walivunjiwa heshima Sana humo dah[emoji848]
Hii scene huwa siichoki. Kila baada ya muda huwa naingia YouTube kuicheki. Waliitendea haki asee!Kaka kweli fight scene bora unazijua. Unajua Tony Ja huwa ashindwagi lakini kwenye hii movie kwa huyu mwamba alikubali[emoji38][emoji38]
Sizani Kama Kuna movie duniani yenye mkono balaa kuliko the raid 1... Eko waizaa [emoji16]The raid 1 and 2 hatari sana
Movie kuanzia mwanzo mpaka mwisho ni ngumi tuSizani Kama Kuna movie duniani yenye mkono balaa kuliko the raid 1... Eko waizaa [emoji16]
Raid ni balaa nadhani yule dogo atakuja kuweka ufalme wake wa movie za martial artThe raid 1 and 2 hatari sana
Kabisa, hasa Tony jaTony jaa na Jacky Wu jing walivunjiwa heshima Sana humo dah🤔