Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.

Ngoma iwe draw, wanaita Ngoma ngondoigwa
Hapo unampoteza mwenzio. Ukubwani ndugu huwa hawaaminiki kabisa, kila mtu ana changamoto zake ukimweka kwenye urithi wako utashangaa, anaweza kupita na wewe halafu hata watoto wako wasiambulie chochote. Nimeona cases nyingi za ndugu waliodhulumu haki za watoto wa ndugu zao wa damu kabisa.
 
Hata nikijenga simuweki mke kama mmiliki labda tuwe tumesaka wote la sivyo huo upopoma wa kuwaza kwa hisia siuwezi.
 
Kwanza mpaka mnajadili Ina maana Kuna shida mahali...hamuaminiani.
Sijui kamuandika nani na sikuwa na haja ya kujua ila Mimi nimemuandika yeye ili watoto wapate haki yao kama sipo duniani.
Usitake sana Mali na hela za mwanamke mkuu...muache awe huru na Mali zake.
 
Kwahiyo amuamini mke ambaye anaenda nje ya makubaliano yao??

Watoto wataishi vizuri tu ukiwawekea misingi mizuri. Huo uoga ndo unafanya wanandoa waishi kwa uoga wa "sasa watoto wataishije" mwisho wa siku wao wanakuwepo na hao watoto wa kuishije bado hawaishije.
 
Mmefunga ndoa ya kanisani?
 
Be a man, Stay Taliban[emoji16]
 
Wewe mpuuzi tu. Kama Baba yake alikuwa wa muhimu angalimuoa yeye
 
Kifupi, mrithi wako na mkweo..!! Iwe kafanya makusudi au la..!!
 
Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.

Ngoma iwe draw, wanaita Ngoma ngondoigwa
Kama hiyo aandike watoto tu
Maana akiandika wadogo zake
Watoto watakosa uridhi
 
Mke wako siyo ndugu yako, ndugu zake ni wale watoto mliozaa tu.

Acha kuwaza vitu havina kichwa wala miguu.

Cc: Liverpool VPN deker one deker one, one man down copy that?
 
Umeandika maelezo mengi sana lakini ume-mis main point. Kwa nini wenza wasiaminiane kwenye ndoa? Unajua maana ya ndoa wewe na malengo yako wewe? All in all, thread za aina hii hapa JF zimekuwa nyingi sana. Sijui ni kwa sababu zinapata wachangiaji wengi hivyo watu wanajitahidi kubuni visa vya uongo! Hata kama ni hivyo, bado inaonyesha kuwa kuna tatizo kubwa kwenye ndoa za sasa. Inabidi serikali ilifanyie kazi hili suala kwa kubadilisha sheria na taratibu za ndoa. Kwa mfano katika kila ndoa kuwe na makubaliano maalumu kuhusu mambo mbali mbali na kuwepo na uwezekano wa kuyabadili kwa ruhusa ya wenza wote. Zile zama za kutunga sheria zinazofanana kwenye kila ndoa umepitwa na wakati. Kwa mfano kuwepo na kipengele cha kusema kwenye ndoa kila mwenza atamiliki mali yake na hata ndoa ikivunjika basi hakuna mgao.
 
Mke wako siyo ndugu yako, ndugu zake ni wale watoto mliozaa tu.

Acha kuwaza vitu havina kichwa wala miguu.

Cc: Liverpool VPN deker one deker one, one man down copy that?
Zamani wanawake walikuwa wanapoolewa kunakuwa hakuna hizi rabsha za siku hizi. Ni wakati muafaka wa kubadili sheria za ndoa.
 
Kama unaweza badili taarifa mchomoe muweke mama yako.
 
Kwani kuolewa kunavunja ukoo kwa mwanamke mpaka ashindwe kuandika wazazi wake waliomusomesha kama warithi wa mali zake?,mbona akifa wanaomrithi ni ndugu zake na si mume wake wala watoto wake wala ndugu wa mume wake? Kwa nini iwe nongwa kwenye ajira yake ambayo imetokana na wazazi wake mwenyewe?.
 
Nimefurahishwa Na Andiko Lako Nimelipenda Sana

Ila Nilichokielewa Kuwa Wewe Mbali Na Makubaliano Yenu Kuwa Tujiandike Sisi Na Watoto Pia Unampenda Sana Mkeo Na Unaamini Kuwa Hata Ukitangulia Basi Yeye Awe ni Mmiliki Wa Mali Zako

Lakini Yeye Pamoja Na Kukupenda Sana Wewe Anaamini Ni Rahisi Zaid Yeye Kutangulia Ila Baba Yake Atapata Tabu Na Anajua Watoto Wake Hawatapata Tabu Kwa Sababu Baba Yao Upo.

Kanuni Sahihi Kabisa ya Mkeo.

Watoto ni Wako Ni Ukoo Wako Ukifa Wewe Yeye Akiwepo Atatunza Watoto Hata Ndugu Zako Wasipokuwepo Mama ni Mama

Akifa Yeye Baba Yake ni Ukoo Wake Wewe Hutoweza Kumhudumia Kwa Kiwango Bora Sababu si Ukoo Wako.

Ila Kuhusu Baba Yako Usiniulize

Lakini Ukimuandika Baba Yako Kuwa Sehem ya Warithi Utawatafutia Watoto Wako Matatizo na Shangazi Zao Sisi Ni Waswahili.

Shida ni Kwamba Wote Mnafanya KAZI Lakini Wewe Ndiye Unayestahili Kuhudumia Familia Na Kurithiwa.

Mwanamke Hata Matumizi Ya Familia Anajipendekeza tu Na Njaa Zetu Ila si Jukumu Lake.

Mwisho Tu Nikwambie Wewe Upo Sahihi, Na Mama Yupo Sahihi.

Baba Acha Kulalamika.
 
Wewe mpuuzi tu. Kama Baba yake alikuwa wa muhimu angalimuoa yeye
Summary assessment ya kusomesha mtoto private school, Primary school miaka 7 ni million 14, secondary school miaka 4 ni million 20, high school million 10, jumla ni million 44 hayo ni makadirio ya chini nje ya malezi mengine.

Watoto wa kike wanaijuwa thamani ya Baba Ila mitoto ya kiume kazi kujipendekeza ukweni tu.

Next time jifunze kuheshimu mtu anayeitwa baba, hata wewe ukikuwa utajuwa mababa wame sacrifice vingapi mpaka unakuja wewe bitoz nyangema ndio unaiona pisi Kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…