Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

Kipindi Cha nyuma walikuwepo wakutosha na huenda hatukuwa waona Hawa koboko lakini wanakijij walisha wamakoza kabisa Kwa mbwa na kuwafukia kwenye mashimo Yao hatimae kufa. Wanakula sana karanga wale
 
Mkuu tumabie hakika hiyo miti inaitwaje na kama ikiwezekana tuma hata picha ulifanikiwa hakikisha una ni Quote
 
Nampataje huyu nguchiro
Mgodi wa Bulyanhulu Gold mine uliopo kahama kakola wapo ndani ya uzio wakutosha Tena wamezoeana na binadamu. Fanya kuwasiliana na wahusika huenda wakakupa namna ya kuchukua.hawa huchukui hata muda kuwanasa wamezoea binadamu kiasi kwamba unapopita hakupishi
 
Nimefatilia mkuu aisee nilkuwa sijui sorry sana Kwa kubishia hili
 
Koboko ninamuogopa sana. Niliwahi kutaka kununua shamba, wakati yule mzee ananitembeza tukakutana na Koboko amekufa shambani. Mzee ananiambia huyu tulimuua alikuwa kwenye hiki kichuguu. Kwa theory ya koboko ninavyoifahamu niliahirisha hapo mahala.

Nashauri uwaone wataalam wa nyoka wa vijijini achana na maliasili. Kuna jamaa huwa namuona tiktok amekamata hao koboko wengi sana. Watu wa namna hiyo unaweza kuwatafuta na kuwapa mpunga wamsakue humo shambani at their own risk.
 
Nimefatilia mkuu aisee nilkuwa sijui sorry sana Kwa kubishia hili
Usijal mkuu, najua katika dunia ya leo hakuna anaeweza kujua kila kitu. Hata wewe leo kuna vitu ambavyo wewe unavijua, lakini mimi na ujanja wangu wote sivijui. Halikadhalika na mimi kuna vitu navijua lakini wewe na ujanja wako wote hauvijui.

So ndo dunia ilivyo. Ni Mungu pekee ndio mwenye uwezo wa kujua kila kisichojulikana duniani na mbinguni.

Nilishangaa ulipoandika eti umeona magamba ya King Cobra shambani kwako 😂😂😂

Aisee King Cobra uone magamba yake na ubaki salama 😂😂😂

Tuko pamoja mkuu.
 
Watu wa kanda ya ziwa sijui huwa wana shid gani. Yani black mamba amepewa story za kutungwa za kichawi kiasi kwamba anaogopeka sana.

Ni nyoka hatari ndio lakini sio kwa hizo mbwembwe anazopewa. Simon Keys anacheza nao kila siku.
 
Watu wa kanda ya ziwa sijui huwa wana shid gani. Yani black mamba amepewa story za kutungwa za kichawi kiasi kwamba anaogopeka sana.

Ni nyoka hatari ndio lakini sio kwa hizo mbwembwe anazopewa. Simon Keys anacheza nao kila siku.
Kweli mkuu. Tatizo wengi wamelishwa story za vijiweni na kuziamini bila kuzifanyia tathmini ya kutosha ili kujiridhisha kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…