Wananchi wengi wa Magharibi haswa vijana washagundua propaganda iliyokua inatumiwa na hio "Israel"
Ambayo ni Gaslighting
Pindua simulizi juu chini, pretend wewe ndio victim....hio propaganda haiwezi fanya kazi tena wakati huu wa internet na social media, pia vijana bahati nzuri hawasikilizi tena BBC, DW, au CNN, collapse ya U.S kama superpower na ujio wa BRICS itakayounganisha global South yote ndio mwisho wa Israel, Palestine itarudi kwa wapalestina