Kwenye mzozo wa Palestine na Israel, wawili hawa, nani alikuwa na malengo muhimu dhidi ya mwenzake? Je, yametimia?

Kwenye mzozo wa Palestine na Israel, wawili hawa, nani alikuwa na malengo muhimu dhidi ya mwenzake? Je, yametimia?

Wananchi wengi wa Magharibi haswa vijana washagundua propaganda iliyokua inatumiwa na hio "Israel"
Ambayo ni Gaslighting
Pindua simulizi juu chini, pretend wewe ndio victim....hio propaganda haiwezi fanya kazi tena wakati huu wa internet na social media, pia vijana bahati nzuri hawasikilizi tena BBC, DW, au CNN, collapse ya U.S kama superpower na ujio wa BRICS itakayounganisha global South yote ndio mwisho wa Israel, Palestine itarudi kwa wapalestina
Bado unaota?..

Hakuna inchi inaitwa Palestine na haitokuwepo.

Walichofanya wapalestina ni kupambana kuwekwa kwenye kumbukumbu za dunia kwa kulikuwepo jamii za wapalestina hapo Gaza city waliokuwa chini ya magaidi hamas na Israel akaja kuwakomboa.

Angalia kasi anayotumia muIsrael kujenga makazi mapya hapo ukanda wa gaza ni ya 5G, kwa ajir ya waisrael siyo wapalestina.

Suala la Wapalestina kurudi kuishi kama awali halitowezekana, wameishapoteza haki yao ya kuishi kwa amani hapo Gaza na kule ukanda wa magharibi
6a00d83451c45669e201310f934adf970c-550wi-1.jpeg
 
-wameishi kwa miaka 600
-wakaondoshwa kwa miaka 600
-wakarudi baada ya miaka 600
-wakaanza "kuwapora'(?)ardhi wapalestina
Unakielewa ulichokiandika kweli au ni upenzi utazamaji tu?
Ondoa MIHEMKO kwanza...... Then read my comment between the lines

Ukishindwa kuelewa haya yatakua ni matatizo yako binafsi ya uelewa
 
Back
Top Bottom