Kwenye ndoa kuchapiwa kunasababishwa na wanaume wenyewe

kweli kabisa yaani hawa wakishapata cheti cha ndoa wanabweteka ata kabla ya kupata mtoto. dawa yao hawa ni kataa ndoa tuu
 
Suluhisho ni moja tu kataa ndoa, sababu hutakuwa na uhuru wa kula mbususu nyingi kama asili yetu wanaume. Ukijaribu kula nyingi mkeo lazima uchapiwe tu.
hii ndo para kivuruge, imeharibu uzuri wa hii article nzuri!!
 
Kuchepuka ni kosa kubwa sana, watu wengi sana hatuchepuki, kwa hiyo wake zetu wakitutenda, wanatuonea, hatustahili hayo.
Dah mkuu pole sana ila dunia haiko fair!!
 
sasa nimelipa illion aalfu unanirekodia mwe matumizi mabaya ya hela hayo. sii bora buku 50 ninunue bundle nicheki online tuu au kule telegram
🤣🤣🤣🤣🤣Aah we nae huna jema
 
Nakazia hapo kataa ndoa, ntarudi kuchangia zaidi baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…