Kwenye ndoa za kikristo uasherati pekee ndio uliruhusiwa kuvunja ndoa, kwanini wakristo huvunja ndoa kwa sababu zingine ambazo hazijaruhusiwa?

Kwenye ndoa za kikristo uasherati pekee ndio uliruhusiwa kuvunja ndoa, kwanini wakristo huvunja ndoa kwa sababu zingine ambazo hazijaruhusiwa?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Nawashangaa wakristo waliokbali kufunga ndoa kwa imani ya kikristo wanaenda kinyume na sheria za kuvunja ndoa, sheria pekee iliyouhuswa ni uasherati lakini wao wanajionhezea vijisababu vyao,,

kuna hizi sababu nje ya biblia nimeshaona zikipelekea ndoa kuvunjika

-Kukosa amani ndani ya ndoa
-Wanawake wanabadilika baada tu ya kufunga ndoa.
-kuchokana na vurugu ndani ya ndoa
-wanandoa huvunja ndoa kwa kuhisi au kugundua mwenzake ni mchawi
-wanandoa huvunja ndoa kwa kuona mwenzake hapendi ndugu zake

n.k......

Hizi ni sababu ambazo hazijaruhusiwa kabisa lakini nashangaa kuna ndooa za ikristo zinavunjika kwa hizi sababu
 
Nashangaa wakristo wengi waliokbali kufunga ndoa za kikristo wanaenda kinyume na sheria za kuvunja ndoa, sheria pekee iliyouhuswa ni uasherati,,,

kuna hizi sababu nje ya biblia nimeshaona zikipelekea ndoa kuvunjika

-Wanawake wanabadilika baada tu ya kufunga ndoa.
-kuchokana na vurugu ndani ya ndoa
-wanandoa huvunja ndoa kwa kuhisi au kugundua mwenzake ni mchawi
-wanandoa huvunja ndoa kwa kuona mwenzake hapendi ndugu zake

n.k......

Hizi ni sababu ambazo hazijaruhusiwa kabisa lakini nashangaa kuna ndooa za ikristo zinavunjika kwa hizi sababu
Hao hawavunji ndoa bali wanatengana tu! Ndoa iko pale pale
 
Kwanza tupe maana ya uasherati na uzinzi. Ukielewa hayo ndipo utakuwa maana halisi ya hicho unachotaka kuongelea.
Uasherati maana yake ni tendo la ndoa linalofanywa na watu ambao sio wanandoa.
Uzinzi maana yake ni kwamba tendo la ndoa linalofanywa na wanandoa.
 
Nawashangaa wakristo waliokbali kufunga ndoa kwa imani ya kikristo wanaenda kinyume na sheria za kuvunja ndoa, sheria pekee iliyouhuswa ni uasherati lakini wao wanajionhezea vijisababu vyao
Ndoa ya Kikristo haina talaka kwa sababu yoyote ile. Kinachoruhusiwa ni kutengana na kutoishi pamoja. Ila bado ndoa ipo palepale!
 
mara ya mwisho kwenda hata kanisani ilikuwa lini ??

nahisi biblia huna aisee,,, uzinzi ni tendo la ndoa linalofanywa na wanandoa 😳😳😂😂😂😂😂
Hiyo ni ligha baba. Haina uhusiano mambo ya kabisa.
Kuna utofauti kati ya uzinzi na uasherati. Refer dictionary. Usikulupuke. Yesu aliposema watu waachane kwasababu ya uasherati hakumaanisha wanandoa. Wanandoa hawafanyi uasherati Bali wanazini iwapo Mmoja ametoka nje ya ndoa. Watu ambao hawajaowana ndiyo wanafanya uasherati. Yusufu alopogunduwa kwamba mariamu ana mimba alitaka kumuacha kwasababu aliona amefanya uasherati na katika mazingira hayo ndipo tunarusiwa kuacha.
 
Imeandikwa usimuache mwanamke mchawi haishi.....sijui walifikiria nini hawa wadhungu
Hiyo agano la kale weka kando, tunaishi agano jipya our role model is Jesus Christ,
Hata hao wachawi Yesu anawapenda na huwalisha kama anavyomilisha Magufoool mwenye chuki na marytina mjaa fitina na majungu ofisini
 
Imeandikwa usimuache mwanamke mchawi haishi.....sijui walifikiria nini hawa wadhungu
Biblia haikuandikwa na Wazungu. Wazungu wameipokea tu kama sisi, sema wao ilikuwa mapema.
Wengi hudhani ukristo ulianza na wazungu...!
 
Hiyo agano la kale weka kando, tunaishi agano jipya our role model is Jesus Christ,
Hata hao wachawi Yesu anawapenda na huwalisha kama anavyonilisha Magufoool mwenye chuki.
Kumbe Kuna updated version ya bible mwakani itatoka mpya ,hizi ni biashara za watu
 
Ndoa ya Kikristo haina talaka kwa sababu yoyote ile. Kinachoruhusiwa ni kutengana na kutoishi pamoja. Ila bado ndoa ipo palepale!

Ndoa ya Kikristo inatalaka kulingana na sheria.
Tofautisha maoni na sheria.

Dini zinaongozwa Kwa sheria na sio Maoni.

Sheria zipo kwenye Torati tuu huko kwengine ni mafundisho na maoni ya mitume na manabii.
Mfano Mtume Paulo Kwa sehemu kubwa alikuwa anatoa maoni yake zaidi ambayo watu wengi hasa Wakristo wasioelewa Dini wanafikiri maoni yake ndio SHERIA.

Hata Yesu katika Injili hakuleta Sheria yoyote mpya isipokuwa alikuwa anatimiliza sheria.

Kwenye Dini sheria zipo za Talaka.
 
Hiyo agano la kale weka kando, tunaishi agano jipya our role model is Jesus Christ,
Hata hao wachawi Yesu anawapenda na huwalisha kama anavyomilisha Magufoool mwenye chuki na marytina mjaa fitina na majungu ofisini
kwanini wakristo ambao wanakuja kugundua wameoa wake wachawi hawataki kuishi nao tena, unakuta mwanamke mchawi kamfanya ndondocha mama wa mme wake, kwanini anaachwa ??
 
Hiyo agano la kale weka kando, tunaishi agano jipya our role model is Jesus Christ,
Hata hao wachawi Yesu anawapenda na huwalisha kama anavyomilisha Magufoool mwenye chuki na marytina mjaa fitina na majungu ofisini
Duuh mpaka kwenye masuala ya ndoa una apply khaki za mbowe
 
Back
Top Bottom